Nina wazo la kuanzisha "factory" ya kutengeneza Pencils. Eneo ninalo, Nyololo, Iringa.
Najaribu kutafiti ni aina gani za Machine na VIFAA vya kufanyia uzalishaji... Pia upatikanaji wa Raw materials hasa grahite na chemicals.
Mwenye Idea na hivyo vitu please, share nami hapa.
Najaribu kutafiti ni aina gani za Machine na VIFAA vya kufanyia uzalishaji... Pia upatikanaji wa Raw materials hasa grahite na chemicals.
Mwenye Idea na hivyo vitu please, share nami hapa.