Kiwanda cha miwa cha Mkulazi ni kilio kwa wananchi

Yaani ukiwaza sana hasara kwa huyo mtanzania basi inabidi utazame chini na kuchora na kidole bila kufahamu unachokichora.
 

Majungu ya kimachinga yamezorotesha ukamilikaji wa kiwanda.
Rais anatakiwa afanye maamuzi sasa urafiki na marehemu kwa mjomba uliisha mjomba alipofariki
 
Majungu ya kimachinga yamezorotesha ukamilikaji wa kiwanda.
Rais anatakiwa afanye maamuzi sasa urafiki na marehemu kwa mjomba uliisha mjomba alipofariki
Unamzungumzia 'njomba'?
Marehemu kaacha familia tusisahau hilo.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Bado tu mambo hayajatengemaa?
Hii investment ilikuwa ya NSSF na washirika wake I.e pension Funds ambazo ndiyo wamiliki au shareholders wa Azania Bank. Changamoto ipo hasa hizi merging za Pension Funds bado mambo hayajatengamaa. . Poleni wakulima.
 
Inasikitisha sana taifa kuwa na watu wengi wasiokuwa na maarifa basic ya uchumi na biashara.
 
πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ˜’πŸ˜’πŸ˜’πŸ˜πŸ˜πŸ˜ΆπŸ˜ΆπŸ˜‘πŸ˜‘πŸ˜πŸ˜πŸ€¨πŸ€¨πŸ€
 
Waendelee kudhamini ndoa za wasanii tu kukitangaza hicho kiwanda
Chao

Ova
 
Mkulazi na bagamoyo sugar ya mzee bakharesa kilianza mkulaz lakn maajabu mzee ameanza uzalishaji wao bado mpaka leo

Wakulima walihamasishwa kulima miwa lakn kiwanda hakizalishi

TUSIAMINI MANENO YA WANASIASA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…