Kiwanda chakutengeneza Simu na Softwares Afrika Mashariki na Kati kujengwa nchini Tanzania.

Renders,animated YouTube clips and now tweets! That's real progress,step by step Viwonder lazima viundwe.
 
[emoji3] lenyewe linasubiria likazindue fensi ya shule ya chekechea Chato likatoe vitisho vizuri...itakua limerogwa lile Babu so bure
Mange amekuwa ndio source kubwa. Hivi anakitengo gani serikalini au nchini ?? Fools will always remain fools. Wawekezaji wanajua mazingira yakuwekeza niyapi. Muhimu nikuwa na mazingira bora. FDI Tanzania anaongoza Africa Mashariki. Pia ukitaka kujua viwanda vilivyojengwa Tanzania google itakusaidia.
 
Hahaha!! Kwanza swali la kwanza,Trillion 1.5 zimeenda wapi?!

La pili,hakuna mwekezaji wa maana atakuja kuwekeza kwenye nchi ambayo haieleweki yaani nchi inategemea mood ya kiongozi leo ataamkaje,HAKUNA.
Embu nambie tangu awamu hii ianze ni mwekezaji gani wa maana amekuja Tanzania?!
Dangote mwenyewe tu anajuta kuwekeza Tanzania na alishawahi kulalamika kuhusu Sera za uwekezaji wa Tz lakini akaishia kujibiwa nyodo na mawiziri.
 
Polepole usiokote makopo, Hapa kazi tu.
 
Kwa kweli lazima iwe kazi tu maana kupiga Trillion 1.5 so kazi ndogo.
Ila Kuna watu siku ya Mwisho nahisi watakua na Moto wao special. Trillion 1.5 unaiba bila haya hlf kanisani unabusu msalaba[emoji23]
Kichwa yako ni kama kopo, endelea na uzwazwa wako wa kusikiliza ujinga. HAPA KAZI TU
 
Kichwa chako kimejaa michanga. Nenda kachukue Buku 7 yako kwa mazwazwa wenzako. HAPA JIZI TU.
Zito Kabwe ni muislamu, anaruhusiwa kuoa zaidi ya mke mmoja, hivi sasa ana mke mmoja tu, bado watatu, harakisha ukawe mke wa pili.
 
Mimi sio mwanasiasa. Ukitaka siasa nenda kwa Mange kimambi.
Viwanda tunazidi kujenga kila kukicha hapa Tanzania. Mapori tunafyeka tunajenga viwanda.
 
Mimi sio mwanasiasa. Ukitaka siasa nenda kwa Mange kimambi.
Viwanda tunazidi kujenga kila kukicha hapa Tanzania. Mapori tunafyeka tunajenga viwanda.
Hahaha!! Kama kipi mkuu,si uvitaje?!

Au kile Cha dawa ya mbu ambacho kilizinduliwa wakati kinafanya kazi tangu 2014[emoji23]
 
Anae sema viwanda Tanzania havijengwi
Hivyo nivi chache tu.
 
Na kiwanda tangia March mpaka sasa hakizalishi..
 
Hahahaaa Wenzake Kina KAGAME na UHURU wapo kwenye High Table na wawekezaji wanadiscuss fursa zilizopo kwenye nchi zao.
Haya mambo ni akili tu, sio kuzurura nchi za watu.. Raisi ana wawakilishi karibia dunia nzima, Kiufupi tuko karibia mataifa yote makubwa tunatangaza na kuvutia uwekezaji pamoja na vivutio vya asili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…