mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,735
Nunua vyerehani nane alafu muite magufuli aje kufungua kiwanda cha kubadili katani na pamba kuwa nguo.Binafsi ni muumini wa kilimo na Teknolojia. Najaribu kuwaza kiwanda gani naweza kununua au kutengeneza kwa gharama ya millioni nne za kitanzania angalau kije kufunguliwa na kiongozi wangu wa mtaa.
Kiwanda chochote cha kuongeza thamani bidhaa za shamba au asili.
Naamini hakuna ambacho kimewahi shindikana humu.
Msaada please.
Hii itamfaa zaidMill 4 unanunua vyerehani 8. So 8/4=2 so unaweza kufungua viwanda viwili.
Binafsi ni muumini wa kilimo na Teknolojia. Najaribu kuwaza kiwanda gani naweza kununua au kutengeneza kwa gharama ya millioni nne za kitanzania angalau kije kufunguliwa na kiongozi wangu wa mtaa.
Kiwanda chochote cha kuongeza thamani bidhaa za shamba au asili.
Naamini hakuna ambacho kimewahi shindikana humu.
Msaada please.
daslamupo mkoa gani
aisee mimi sio mwenyeji wa huo mkoa mkuu utanisamehe buredaslam