Kiwanda gani naweza fungua/anzisha kwa gharama ya millioni nne?

Kiwanda gani naweza fungua/anzisha kwa gharama ya millioni nne?

nakupata kwa uzuri...
kuna kamtambo local ka mzee wangu mmoja kanakausha Matunda na yanabaki na ubora wake, bahati mbaya nimepoteza namba zake, ila nitamsaka kwa vyanzo vyangu vingine lkn kilichonishangaza mara ya kwanza nimenunua product yake nikaipeleka nyumbani kila mtu anaponda... mara ooh itakuwa ni chafu, mara ooh haina virutubisho, mara ooh bei kubwa mara ooh sio tamu kama embe halisi.

Wabongo wakisikia kitu kisicho cha kawaida na kimetengenezwa na mwenzao wanageuka maadui. ngoja kwanza nimsake mzee wangu kabla ya kutafiti fursa za hii kitu.
mkuu malengo ni kufika 2020 lazima niwe na product flaniflani kwenye jamii. Mawazo yenu nayaheshimu sana.
c85250d1749b23180800f51b998bc90a.jpg
 
Kwa kiwango cha pesa ulicho nacho nakushauri ufanye kati ya biashara zifuatazo:
1. Nunua mashine za kutengeneza peanut butter. Mashine hizo ni peanut grinder, peanut roster na meza ya kufanya sorting. Hiyo hela itatosha na utabakiwa na kiasi fulani cha kunjnua raw materials (karanga) za kutosha za kuanzia.

2. Biashara ingine nunua mashine ya kusaga na kukoboa unga wa mahindi na uwe unapaki. Mashine hizo fanya zitumie motor moja ku run mashine zote mbili ili kuokoa gharama. Hapa sidhani kama utakuwa na hela ya materials ya kuanzia.

Pia kwenye case zote mbili nime assume utakuwa na shed ya kuweka hizo mashine.

Kila la heri
Asante mkuu, naichukua kama ilivyo.... Naanza utafiti wake kwa umakini
 
Back
Top Bottom