Kiwanda hiki ni pigo Kenya

Kiwanda hiki ni pigo Kenya

Yaani umeandika vizuri sana, tatizo pekee ni pale ulipoiingiza kenya katika hoja yako. Miye nilifikiri kwamba, tunajenga viwanda ili kujiletea maendeleo, kumbu tunajenga ili kuwakomoa wakenya!! aiseee
Ukipata bajeti kubwa wanaliita "bajeti hewa" ,ukiwa na shirika kubwa la ndege wanasema 'linaporomoka" ,ukiwa na uchumi mkubwa "huo uchumi ni wa wazungu pekee" ,ukipata kiwanda mpakani "hili ni la kuleta wenzetu chini"

Seems like some people are always in deep desire to see you collapse ...nothing beats the absurdity of going into business and your main aim is not to grow and make $$$, but to see your colleague go down...it reeks of bitterness and envy.
 
Kiasi cha ng'ombe zaidi ya 300 na mbuzi 800 huingizwa Kenya kutokea Tanzania kwa week kupitia njia rasmi na zisizo rasmi, daima kilio cha wafugaji wa maeneo hayo kimekua kuhusu bei ya kilanguzi na ya kimabavu kutoka kwa wafanyabiashara wa Kenya

Hatimae kupitia agenda ya JPM chini ya Tanzania ya viwanda jibu kwa wafugaji hawa wa kimaasai limepatikana baada ya kupatikana muwekezaji wa ndani anaejenga kiwanda cha aina yake wilaya ya Longido jirani kabisa na mpaka na Kenya, kiwanda hiki kikubwa na cha kisasa vilevile kinalenga kuliteka soko la Kenya kwa kuwauzia processed meat products



If you ask me; ningeelewa kama kiwanda hicho kingejengwa Arusha mjini (distribution channels, local clients na infrastructure ni more advanced kuliko Longido). Na kama lengo ni kuteka soko la Kenya basi tujiulize maswali yafuatayo:
1. Serikali hii inapiga vita bidhaa zinazotoka Kenya (maziwa toka Brooksides anyone?), unawatarajia Wakenya waruhusu bidhaa toka upande huu?
2. Bidhaa za hicho kiwanda zikizuwiwa kwenda Kenya zitauzwa wapi? Consider distribution cost toka Longido to local markets.
3. Skilled manpower ya kuendesha hicho kiwanda itatoka wapi kama competent personnel inazuwiwa kuingia nchini?

Having said that; naombea hicho kiwanda kufanikiwa.
 
Nimeongea kuhusu bei ya Kenya ni ndogo na wafugaji hulalamika kwa hiyo kupata kiwanda karibu wafugaji watafaidika zaidi and of course Kenya wataumia sababu mifugo waliyokua wakiitegemea kulisha viwanda vyao sasa haitakuwepo.
Wewe unafahamu the law of demand and supply. Mwanzo bei unayodai ni ya chini kenya is the best price for those livestock traders from bongo.Pili waliamua kuuza kenya kwa sababu ndio bei bora zaidi kwao. Otherwise wangeuzia Tanzania. Tatu haujui bei watakayo toa kiwandani, Kwa hivyo uenda soko bora litabaki kenya. Nne the of supply will always come into play, mtu mwingine ataziba pengo Lolote Kwa soko as far as the price is right kaka!!!
 
Kila jambo lina faida na hasara kwenye matokeo yake kati ya pande mbili, hivyo kwa namna moja inakua faida upande wa Tanzania na hasara upande wa Kenya, hivyo ila mradi ni ukweli sio uongo.
Korosho ilikuwa ni hasara kwa nani? You do things thinking that you are hurting Kenya kumbe hujui mnajiumiza wenyewe. Anyway, I have been waiting for the feedback from you to remind me the last time ATCL posted their financial report.
 
Achana na hawa viumbe, ni wa ajabu sana. Kwenye list ya nchi za Afrika zinazoongoza kwa kuzalisha ngombe wa nyama na maziwa pia hawapo. Kwa kuexport nyama na maziwa, viwanda vya Kenya vimewafunika hadi vina uwezo wa kununua ng'ombe na maziwa ya ziada kutoka kwao. Alafu wapo hapa wakisifia kiwanda kimoja, eti na kwamba hicho kiwanda kimoja kimeshaimaliza Kenya. [emoji1]
Hivyo ndivyo nchi ya Tanzania ilivyo kuwa, Wao wanaongoza kwa raslimali wala sio kwa mauzo ya bidhaa zinazotokana na hizo raslimali.. Mfano ni Tanzanite, ipo tu Tz lakini kenya ilikuwa na pato kubwa la mauzo yake kuliko Tz. Sasa JPM yupo na hayo yanabadilika japo kamati ya roho mbaya pamoja na mijubilee inalia sana
 
If you ask me; ningeelewa kama kiwanda hicho kingejengwa Arusha mjini (distribution channels, local clients na infrastructure ni more advanced kuliko Longido). Na kama lengo ni kuteka soko la Kenya basi tujiulize maswali yafuatayo:
1. Serikali hii inapiga vita bidhaa zinazotoka Kenya (maziwa toka Brooksides anyone?), unawatarajia Wakenya waruhusu bidhaa toka upande huu?
2. Bidhaa za hicho kiwanda zikizuwiwa kwenda Kenya zitauzwa wapi? Consider distribution cost toka Longido to local markets.
3. Skilled manpower ya kuendesha hicho kiwanda itatoka wapi kama competent personnel inazuwiwa kuingia nchini?

Having said that; naombea hicho kiwanda kufanikiwa.
Nakujibu kama ifuatavyo

Kuhusu infrastructures

Maji

Umeme

Barabara
Screenshot_2019-06-20-11-10-02.png


Kwenye suala la manpower hatuna haja ya kutegemea wataalam kutoka Kenya sababu Tanzania inavyo vyuo vya kutosha kama SUA vinavyotoa wataalam mahiri kwenye sector ya mifugo na kilimo, hata hivyo bado Arusha kuna viwanda vya nyama vikubwa vyenye wataalam pia vilevile.

Soko la ndani lenyewe linajitosheleza hata masoko ya nje yapo mengi tofauti na Kenya, FYI tu kuna Mtanzania mwenye kiwanda Mwanza cha Chobo huyu ni mmoja wa biggest verified supplier wa nyama kwenye the next Qatar World Cup Football Season kwa hiyo masoko sio ya kutafuta.
 
Yaani umeandika vizuri sana, tatizo pekee ni pale ulipoiingiza kenya katika hoja yako. Miye nilifikiri kwamba, tunajenga viwanda ili kujiletea maendeleo, kumbu tunajenga ili kuwakomoa wakenya!! aiseee

swali unatafuta pesa kwa ajili ya nini.
kama kimejengwa kiwanda ni kutumia fursa kwa wafugaji wa kitanzania
 
Korosho ilikuwa ni hasara kwa nani? You do things thinking that you are hurting Kenya kumbe hujui mnajiumiza wenyewe. Anyway, I have been waiting for the feedback from you to remind me the last time ATCL posted their financial report.
Kwani kuna mtu alikuambia serekali got loss from purchasing cashews from the farmers? The primary goal of the government was to give the farmers greater deal compared with what was about to be given by the middlemen, and the government successfully made it, they bought the entire standard cashews at the 2300 price above 1300 of the middlemen, deal not deal?

The next step of the government to find a buyer of it's cashews was none of whatsoever business.
 
Hivyo ndivyo nchi ya Tanzania ilivyo kuwa, Wao wanaongoza kwa raslimali wala sio kwa mauzo ya bidhaa zinazotokana na hizo raslimali.. Mfano ni Tanzanite, ipo tu Tz lakini kenya ilikuwa na pato kubwa la mauzo yake kuliko Tz. Sasa JPM yupo na hayo yanabadilika japo kamati ya roho mbaya pamoja na mijubilee inalia sana
Nakumbuka ukijigamba hapa eti Jiwe ameuzia wakenya korosho kwa faida. Nikajaribu kukuelimisha ila ukabisha kwamba tayari hela zipo kwenye benki na zitatumiwa kujenga miundo mbinu ya kuipiku Kenya. Hahaha!
😀 Ng'ombe ni wenu, Tanzanite ni zenu, korosho ni zenu na kiwanda ni chenu. Mkishindwa kufanikisha ni shauri yenu, hayatuhusu. Gatuzi la Kajiado pekee yake linalopakana na Longido lina viwanda vingi zaidi ya Tz! Nyinyi ndio mnaanza eti?
 
Nakumbuka ukijigamba hapa eti Jiwe ameuzia wakenya korosho kwa faida. Nikajaribu kukuelimisha ila ukabisha kwamba tayari hela zipo kwenye benki na zitatumiwa kujenga miundo mbinu ya kuipiku Kenya. Hahaha!
😀 Ng'ombe ni wenu, Tanzanite ni zenu, korosho ni zenu na kiwanda ni chenu. Mkishindwa kufanikisha ni shauri yenu, hayatuhusu. Gatuzi la Kajiado pekee yake linalopakana na Longido lina viwanda vingi zaidi ya Tz! Nyinyi ndio mnaanza eti?
Korosho wakulima wamelipwa. Kwa kawaida ukipewa barua ya LC na benki, hiyo ni sawia na pesa taslim..Lakini inaonekana kenya hata LC ni feki tu kama ilivyo fake gold, fake dollars na fake economy.
Mtaendelea kuumia sana Tz chini ya JPM hakuna kuuza mali ghafi
 
Korosho wakulima wamelipwa. Kwa kawaida ukipewa barua ya LC na benki, hiyo ni sawia na pesa taslim..Lakini inaonekana kenya hata LC ni feki tu kama ilivyo fake gold, fake dollars na fake economy.
Mtaendelea kuumia sana Tz chini ya JPM hakuna kuuza mali ghafi
Boss, LC haikuwa kutoka kwa benki za Kenya. Hukumbuki ulivojigamba kwamba Jiwe atapokea donge nono in dollars kutoka kwa benki za ughaibuni? [emoji38] Jiwe alikuwa conned na broker mwenye jina la ajabu, Mutembei! [emoji23] Mutembei aliwatembeza hadi kwenye sayari nyingine alafu akawadondosha. [emoji23]
 
Boss, LC haikuwa kutoka kwa benki za Kenya. Hukumbuki ulivojigamba kwamba Jiwe atapokea donge nono in dollars kutoka kwa benki za ughaibuni? [emoji38] Jiwe alikuwa conned na broker mwenye jina la ajabu, Mutembei! [emoji23] Mutembei aliwatembeza hadi kwenye sayari nyingine alafu akawadondosha. [emoji23]
Ndivyo ina shagaza sana utapeli umefika kiwango gani kenya..Kama Shehena za dollar bandia zinapatika hadi international banks kama baclays..Hivi LC itakuwaje genuine? LC ni sawa na pesa taslim na hilo linajulikana dunia yote except in kenya land of international thieves
 
Ndivyo ina shagaza sana utapeli umefika kiwango gani kenya..Kama Shehena za dollar bandia zinapatika hadi international banks kama baclays..Hivi LC itakuwaje genuine? LC ni sawa na pesa taslim na hilo linajulikana dunia yote except in kenya land of international thieves
LC haikuwa kutoka kwa benki yeyote Kenya, kampuni ambayo ilikuwa inanunua koroshow haikuwa na ofisi sehemu yeyote ile kwenye sayari hii. Siumesema kwamba LC ni pesa, si mnayo bado? Itumieni kama hela basi. [emoji23]
 
LC haikuwa kutoka kwa benki yeyote Kenya, kampuni ambayo ilikuwa inanunua koroshow haikuwa na ofisi sehemu yeyote ile kwenye sayari hii. Siumesema kwamba LC ni pesa, si mnayo bado? Itumieni kama hela basi. [emoji23]
Wewe kwani unajua ni benki gani? Baclays, stanchart etc ni international banks with branches in kenya na humo humo ndio matapeli wakenya wanaficha fake gold na fake dollars..Jubilee imeshusha hadhi ya Nairobi kuwa business capital sana, hata America juzi wametoa ripoti kuwa Nairobi/kenya is a hotspot for money international laundering.
Hii ni aibu sana kwa kenya na kwa balozi dan kazungu aliye leta tapeli tanzania..Hivi kenyatta haja mfukuza kazi kisa kuchafua jina la watu wa kenya?
 
Wewe kwani unajua ni benki gani? Baclays, stanchart etc ni international banks with branches in kenya na humo humo ndio matapeli wakenya wanaficha fake gold na fake dollars..Jubilee imeshusha hadhi ya Nairobi kuwa business capital sana, hata America juzi wametoa ripoti kuwa Nairobi/kenya is a hotspot for money international laundering.
Hii ni aibu sana kwa kenya na kwa balozi dan kazungu aliye leta tapeli tanzania..Hivi kenyatta haja mfukuza kazi kisa kuchafua jina la watu wa kenya?
Acha ukasuku wako wewe. Hamna vitengo vyenu vya usalama na intelligence? Chizi anaingia ikulu, alafu mnamkaribisha kwa mbwembwe nyingiii. Eti wakenya wamekuja kununua korosho zetu. Ha!
 
Acha ukasuku wako wewe. Hamna vitengo vyenu vya usalama na intelligence? Chizi anaingia ikulu, alafu mnamkaribisha kwa mbwembwe nyingiii. Eti wakenya wamekuja kununua korosho zetu. Ha!
wewe huoni aibu balozi na rais wa kenya kuelekea kikao cha EAC na tapeli kama yule? Yani Rafiki za kenyatta na dan kazungu ni matapeli? No wonder mnaandamana na watu wa sampuli hiyo China kuzungusha bakuli mkinyimwa pesa mnajifungia chumbani na stress tupu
 
Back
Top Bottom