Kiwanda kikubwa cha kijeshi Urusi chatiwa kiberiti

Kiwanda kikubwa cha kijeshi Urusi chatiwa kiberiti

IMG_8842.jpg
 
Naona ProRussia hapa wameinamisha vichwa chini kama mbuni vile.Hawaamnini mambo yanavyokwenda.Neno lao kuu utasikia wakisema,"Hizo ni propaganda za magharibi"🤔
 
Russia is Overrated
●haiwezekani nchi yenye airdefence(michuma chuma s500) bora kabisa ulimwenguni watoto wanaingia wana jipigia wanasepa
●haiwezekani nchi yenye intelligence division (Fsb/kgb) bora kabisa watu wanaingia mpaka ndani wana kinukisha wanasepa
●haiwezekan nchi yenye majesh imara na spesho fosi bora kama (spetnaz) alaf kweny ulingo wana chinjwa kama broiler pale shekilango
●haiwezekani nchi yenye kila aina ya siraha i.e (thupathoniki misile) inapigwa na kainjiii kadoooogo kama ncha ya ukucha

♤Put In kawaangusha waruss wa buza,bom bom kijiwe samli hapo, nanjilinji kimbiji et al ...

Sent from my SM-G950U using JamiiForums mobile app
 
Tunaendelea kuchukua maeneo bakhmut tayari.mwache zelisky aendelee kudanganywa.hiyo nchi itagawanywa.poland atachukua maeneo yake na Russia anaendelea kuchukua Maeneo yake.

Kambi za kijeshi zinawaka moto Urus...mr. Nonesense and soon
 
Tunaendelea kuchukua maeneo bakhmut tayari.mwache zelisky aendelee kudanganywa.hiyo nchi itagawanywa.poland atachukua maeneo yake na Russia anaendelea kuchukua Maeneo yake.
Bakhmut ipi hiyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Piles of #DeadRussianSoldiers near #Bakhmut
 
Walianza kushambulia Crimea. Wakapiga kambi ya jeshi ndani Russia, tukasema huu sio mwenendo mzuri kwa Russia, na hii ndo inafungua mlango kwa Ukraine kupasua ndani ya Russia.

Russia anachokonolewa ili atumie nuclear kisha wenzie wamzime mazima. Nina amini kabisa haya mashambulizi ndani ya Ukraine, anayehusika kwa undani US. Na ikiwa hisia hizi ni sahihi, basi tutarajie mabaya zaidi ya Russia.

Ukiambiwa US huwa hakurupuki tuwe tunaelewa.
 
Hivi wewe unajua kiingereza sawasawa? Umeelewa nini hapo??, ni wapi pameandikwa Ukraine anahusika na hiyo attack??. Hiyo inasemwa ni sabotage attack na hawakusema kwamba ni Ukraine anahusika.
Super kilaza
 
Ustadhi mwingine huyu kafufuka, mlikua mumetoweka.

Hata Moskov mlisema sio Ukraine kahusika bali mvuta sigara ndiye alisababisha, endeleeni kukana ila matukio yataendelea kila siku tena ndani ya kambi za kijeshi Urusi.
Kambi zenye kila aina ya defence zinazoaminiwa ni bora zaidi ulimwenguni.
 
Kambi zenye kila aina ya defence zinazoaminiwa ni bora zaidi ulimwenguni.
Yani unashambulia kambi ya anga alafu baada ya ndege kulipuka, ndege inachubuka.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Ivi Ukraine walitumia baruti ya kuvulia samaki kushambulia ile kambi ya anga.au walitumia bomu gani[emoji23][emoji23]
 
Hivi wewe unajua kiingereza sawasawa? Umeelewa nini hapo??, ni wapi pameandikwa Ukraine anahusika na hiyo attack??. Hiyo inasemwa ni sabotage attack na hawakusema kwamba ni Ukraine anahusika.
Hivi hiyo milipuko huko Rusia kabla YA hii vita ilikuwepo?
 
Hivi unalipwa kiasi gani kwa umbeya unauleta hapa jf wenzako wanalala Giza hata viyoyozi hawana we we una bwabwaja hapa
 
Back
Top Bottom