Darkish
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 326
- 364
Nakumbuka miaka kadhaa iliyopita niliwahi kuposti thread nikihoji kwa nini wanazuoni wetu UDSM mtaala wa Uhandisi (Mechanical Engineering) hawajiongezi na kuunda hata mfano wa gari. Majibu niliopata toka kwa wanazuoni hao, mimi mwenyewe nilikoma kuendelea na hiyo hoja. Sasa angalia wanafunzi wa Makerere walivyoanzisha mwendo enzi hizo:
View: https://www.youtube.com/watch?v=QbQsqRYCOqY
View: https://www.youtube.com/watch?v=QbQsqRYCOqY