mama dunia
JF-Expert Member
- Dec 22, 2011
- 420
- 84
Hi Wadau, eti ni kiwanda gani wanaprocess pamba na kuzipack kwa wingi ready for use...mfano labda haya mahospitali makubwa yananunua wapi pamba zikiwa nyingi yaani mfano kilo mia na kuendelea mbele, pamba safi kabisa zikiwa nyingi kwenye mabox makubwa/mabello. i hope nimeeleweka wajameni...
Thanks
Thanks