Kiwanda kinachotengeneza Barakoa zinauzwa Muhimbili kiko wapi na kinamilikiwa na nani?

Kiwanda kinachotengeneza Barakoa zinauzwa Muhimbili kiko wapi na kinamilikiwa na nani?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Swali hili limetokana na kampeni ya mashaka inayofanywa na Viongozi wa serikali kuzipinga Barakoa zinazotoka mahali pengine bila hata chembe ya ushahidi kwamba zina matatizo.

Tutaelewana Tu _rolling_on_the_floor_laughing_ ( 640 X 640 ).jpg
 
Nitashangaa sana kama viongozi wa serikali yetu wanaojinasibu kwa uzalendo kila siku watakuwa wanahusika na hiyo biashara.

Muhimu tuambiwe ni nani mmiliki wa hicho kiwanda, sio kila siku tunalazimishwa kuamini barakoa toka nje zina matatizo ya kiafya wakati ni wao ndio walioruhusu ziingie.

Sikutegemea kama kuna watu watawaza biashara katikati ya hali hii tuliyonayo.
 
Cha kushangaza hawajawahi kutengeneza pamba ya kuoshea vidonda , lakini eti barakoa wanatengeneza!
Machine za hiki kiwanda zimetoka China. Malighafi zote za kutengeneza hizo barakoa zinatoka China waliopo mitamboni kwenye uzalishaji ni Wachina, halafu kuna lofa mmoja anasema usitumie barakoa za nje.
 
Back
Top Bottom