Kiwanda kinachotengeneza Barakoa zinauzwa Muhimbili kiko wapi na kinamilikiwa na nani?

Kiwanda kinachotengeneza Barakoa zinauzwa Muhimbili kiko wapi na kinamilikiwa na nani?

Cha kushangaza hawajawahi kutengeneza pamba ya kuoshea vidonda , lakini eti barakoa wanatengeneza !
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kwakweli hawajawahi kuwa na kiwanda cha kutengeneza pamba wala mashuka ... ninachfahamu huwa wana kajikarakana ka kutengeneza viungo bandia
 
Back
Top Bottom