Kiwanda kinachotengeneza Barakoa zinauzwa Muhimbili kiko wapi na kinamilikiwa na nani?

Kiwanda kinachotengeneza Barakoa zinauzwa Muhimbili kiko wapi na kinamilikiwa na nani?

L
Nitashangaa sana kama viongozi wa serikali yetu wanaojinasibu kwa uzalendo kila siku watakuwa wanahusika na hiyo biashara, muhimu tuambiwe ni nani mmiliki wa hicho kiwanda, sio kila siku tunalazimishwa kuamini barakoa toka nje zina matatizo ya kiafya wakati ni wao ndio walioruhusu ziingie.

Sikutegemea kama kuna watu watawaza biashara katikati ya hali hii tuliyonayo.

Kushona barakoa za kuuza nchi nzima kwa zile cherehani za kushonea ma ovaroli ya usafi haiwezekani , tafuta uongo mwingine
Hivi zinazotumika kushona barakoa ndo zile zile zilizodizainiwa kwa ajili ya kushona maovaroli? Delicacy ya overoll na barakoa vitaendana kwel?
 
Hivi chadema ndo wameleta korona au ndo waliamrisha msijikinge?!!!!! Mmekariri kila uharo Ni wa bata kumbe mwahara ninyi kuku.
Yaleyake ya yule naibu waziri wa kimasai anauliwa je korona ipo Tanzania au haipo

Anajibu habari za Lissu tunataka maendeleo wana kulitafuta wana kuluget

Hamna wa kumsingizia sasa Chadema tunawaangalia tu kwa pembeni huku tumevaa barakoa zetu
 
Mbona pamba za kuoshea vidonda wameshindwa kutengeneza wamebaki kununua india na Kenya?
Aloo we jamaa ni kiazi kupindukia
Kama jambo ulifahamu kaa kimya
Hospital nyingi za huzalisha vitu vingi kama vifaa tiba wala huwezi kuita kiwanda
Umeshanifahamu?
 
Aloo we jamaa ni kiazi kupindukia
Kama jambo ulifahamu kaa kimya
Hospital nyingi za huzalisha vitu vingi kama vifaa tiba wala huwezi kuita kiwanda
Umeshanifahamu?
Ndio wauze nchi nzima !
 
Cha kushangaza hawajawahi kutengeneza pamba ya kuoshea vidonda, lakini eti barakoa wanatengeneza!
ulimbukeni wa siasa za upinzani unaweza ukakufanya ukaonekana siyo binadamu a kawaida hivi rais wetu mpendwa anawajitahidi watanzania tupate kitu kisicho na mashaka mnaleta maswali kibao ungeridhika kama angetengeneza pamba za kuoshea kidonda akaacha kukuponya au kukuepusha na corona? au mlitaka hizo barakoa anazotengeneza muhimbili zitolewe bure? LEO HUKO KWENYE NCHI ZA ULAYA WAMEKAMATA BARAKOA FEKI NDIYO MJUE KUWA JPM ANAWAPENDA HATA NYIE WAPINZANI HATAKI MFE ANATAA MUISHI ILI MUONE ANACHOKIFANYA
 
ulimbukeni wa siasa za upinzani unaweza ukakufanya ukaonekana siyo binadamu a kawaida hivi rais wetu mpendwa anawajitahidi watanzania tupate kitu kisicho na mashaka mnaleta maswali kibao ungeridhika kama angetengeneza pamba za kuoshea kidonda akaacha kukuponya au kukuepusha na corona? au mlitaka hizo barakoa anazotengeneza muhimbili zitolewe bure? LEO HUKO KWENYE NCHI ZA ULAYA WAMEKAMATA BARAKOA FEKI NDIYO MJUE KUWA JPM ANAWAPENDA HATA NYIE WAPINZANI HATAKI MFE ANATAA MUISHI ILI MUONE ANACHOKIFANYA
karibu sana mkuu
 
karibu sana mkuu
SIYO unikaribishe badirika achana na siasa za kina tobo na pambalu wao kila kitu kupinga Marekani shehena kibao za barakoa feki sasa hizo zingeingia nchini ingekuwaje ukiwemo wewe unayebisha kila kitu SALUTE KWA JPM
 
SIYO unikaribishe badirika achana na siasa za kina tobo na pambalu wao kila kitu kupinga Marekani shehena kibao za barakoa feki sasa hizo zingeingia nchini ingekuwaje ukiwemo wewe unayebisha kila kitu SALUTE KWA JPM
Hizi nyuzi tunazozileta humu haziletwi kwa bahati mbaya
 
Back
Top Bottom