eka moja ni sh ngapi Malila?
Kuanzia pale Kisemvule,Kibamba, Mwanambaya,Dundani inabidi uwe na kiasi kisichopungua 25M mpaka 40M kwa vile vya barabarani vinavyopakana na viwanda, wenye mashamba kupitia madalali feki wanapayuka tu, lakini ukiruka mita kadhaa nyuma ya barabara unapata kwa bei poa kabisa, mpaka laki tano kwa eka. Tatizo eneo lote kuanzia Kongowe halijapimwa,sasa unaweza kununua nyuma/ndani ndani kwa bei poa halafu baadae ukakosa njia au huduma muhimu.
nitafuteni niwauzie kiwanja mkuranga jamani,,mtakuja kujilaumu baadae
sasa sijui tununue viwanja wapi,wengine wanasema nunua bagamoyo,wengine mtwara,wengine,kilwa sasa na nyie mmekuja na yenu ya mkuranga!!
so what???
Thanks mkuuNunua ktk residential areas sio ktk industrial areas.
Kama ww ni mwekezaji mtarajiwa ktk sector ya viwanda basi katafute huko. Viwandani kuna hewa chafu kuishi na familia yako.
nlikuwa cjaelewa postSwali la kipuuzi
he answered your "so what"
Soma tena
kufikiria ni kipaji piaSoftman hata kufikira huwezi
i doubt thatkufikiria ni kipaji pia
So hicho kiwanda kimechangia vipi in terms of price competition? I expect price reduction if not then it is meaningless
Sasa hivi Cement inauzwa 13500/= maeneo ya Kongowe na Vikindukuna ofa za ufunguzi?,bei imeshuka walau elf12 per bag au ndo bei zile zile utafikiri malighafi zinatoka somalia
eka moja ni sh ngapi Malila?