Fair play ni kuangalia mchezaji kwanza namna atakavyoathirika, hata Man kwa mfano waliamua kuachana na Ronaldo baada ya kuona hana nia ya kuipigania timu. Club kumkomoa mchezaji si fair play.
Huu mfano uigwe na Yanga, Man hawakutaka kujua nani ama Club gani imemdanganya Ronaldo, wakamaliza wenyewe - then jamaa akaibukia anakokutaka yeye - huo ndiyo Mpira wa leo.
Ronaldo said: "Following conversations with Manchester United we have mutually agreed to end our contract early. "I love Manchester United and I love the fans, that will never ever change. However, it feels like the right time for me to seek a new challenge