Hapana, kusiwe na mahitaji ya viwango vya elimu kwa wanaogombea nafasi za kisiasa. Kufanya hivyo kunasababisha utitili w Ph.D za kununua; badala yake ningeshauri kuwa na usaili wa awali kabla candidacy ya mtu haijapita. Iwekwe bodi ya wanazuoni kuwasaili watu hawa katika nyanja tofauti tofauti ili kupima upeo wao kabla hawajakubaliwa kuwa wagombea (Candidates).