Prezidah
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 750
- 182
Ni Furahi Daya WanaJF!!
chonde chonde naomba sana wale watakaoteuliwa kuunda Bunge la Katiba wazingatie vigezo vya mtu kuwa diwani at least isipungue Diploma na Mwenyekiti wa Halamashauri lazima awe na Digrii. Nasema hivi kwa sababu madiwani wamepewa mamlaka makubwa kikatiba (current) kusimamia halmashauri lakini kutokana na elimu ndogo wamekuwa kikwazo cha maendeleo kazi kuomba posho tu na kufukuza wakurugenzi pale wanapokuwa strict.
chonde chonde naomba sana wale watakaoteuliwa kuunda Bunge la Katiba wazingatie vigezo vya mtu kuwa diwani at least isipungue Diploma na Mwenyekiti wa Halamashauri lazima awe na Digrii. Nasema hivi kwa sababu madiwani wamepewa mamlaka makubwa kikatiba (current) kusimamia halmashauri lakini kutokana na elimu ndogo wamekuwa kikwazo cha maendeleo kazi kuomba posho tu na kufukuza wakurugenzi pale wanapokuwa strict.