Emannuel Okwi analipwa USD 3000 kwa mwezi, ambazo ni zaidi ya 6 milioni.
Kuhusu Simba kulipa laki tatu ni sawa, na hizo hua ni kwa wale wachezaji wanaopandishwa toka timu za vijana.. akipafomu vizuri hupongezwa kwa kupewa mikataba minono, mf. Mkude, Isihaka na Ndemla. Hii inawafanya wajitahidi sana.