Yethero Mgale
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 525
- 228
Katika ligi ya vodacom ya 2014/15, Azam ndiyo timu inayoongoza kwa kuwalipa masilahi mazuri wachezaji wake kwani wachezaji wanaopokea mshahara mzuri kwa mwezi ni Kipre na Herman Tchetche ambao ni 4 mil kwa mwezi na anayepokea kiwango cha chini ni 1.5 kwa mwezi.
Wakati Yanga ni 3.6 mil kwa kiwango cha juu na laki 3 kwa chini.
Simba ni 3mil kwa laki 3
Source: RFA
Wakati Yanga ni 3.6 mil kwa kiwango cha juu na laki 3 kwa chini.
Simba ni 3mil kwa laki 3
Source: RFA