Kiwango cha juu cha ELIMU ya Zembwela

Kiwango cha juu cha ELIMU ya Zembwela

kiwango cha juu cha ELIMU ya huyu
Toka nje ya boksi coz dunia inahama huko kwani imeanza kujulikana kuwa na shahada haimanishi wewe una akili wala ujuzi.

Halafu elimu yenyewe ya Tanzania! Wewe na elimu yako,una mzidi nini Zembwela ukitoa sifa, kejeli na dharau??

Kamala Harris says she will cut degree requirements for certain federal jobs​


WILKES BARRE, Pennsylvania, Sept 13 (Reuters) - U.S. Vice President Kamala Harris said on Friday she will cut college degree requirements for certain federal jobs if elected president as the Democratic presidential candidate


A degree does not necessarily indicate a person's skills, Harris said. She added: "And I will challenge the private sector to do the same."

September 14, 20241:33 PM GMT+3.Updated 23 days ago

 
Toka nje ya boksi coz dunia inahama huko kwani imeanza kujulikana kuwa na shahada haimanishi wewe una akili wala ujuzi.

Halafu elimu yenyewe ya Tanzania! Wewe na elimu yako,una mzidi nini Zembwela ukitoa sifa, kejeli na dharau??

Kamala Harris says she will cut degree requirements for certain federal jobs​


WILKES BARRE, Pennsylvania, Sept 13 (Reuters) - U.S. Vice President Kamala Harris said on Friday she will cut college degree requirements for certain federal jobs if elected president as the Democratic presidential candidate


A degree does not necessarily indicate a person's skills, Harris said. She added: "And I will challenge the private sector to do the same."

September 14, 20241:33 PM GMT+3.Updated 23 days ago

Bado hujaelezea kiundani zaidi. Original ni sera ya biden, focus ilikuwa kuna ombwe kubwa kwamba skilled labour wanapungua kwa kasi kubwa sababu wengi wanakimbilia degrees, leaving gape kubwa katikati. So ni attempt ya ku level the field
 
Kuna Dr (PhD) holder alilia Moro pale baada ya kutumbuliwa,Kuna professor alimwita magu Mungu baba, Kuna mapro wengi waliteuliwa kwenda kuwa wakuu wa wilaya wakaacha kufanya tafiti za maana, Kuna wale wamejaa bungeni wanaofanya bunge kama mijadala ya watoto shuleni, wasomi ndio hao na hawana impact, tufikie sehemu tuangalie matokeo yanyotokana na talents za watu siyo elimu, coz humu kwetu elimu ni kama pambo tu , Haina tija kwa taifa,hata wanaofanya vizuri na Wana elimu wamechagizwa na uwezo binafsi zaidi
 
Bado hujaelezea kiundani zaidi. Original ni sera ya biden, focus ilikuwa kuna ombwe kubwa kwamba skilled labour wanapungua kwa kasi kubwa sababu wengi wanakimbilia degrees, leaving gape kubwa katikati. So ni attempt ya ku level the field
Sijui kwa nini kawa mkali hivyo? Si angemjibu kwa upole muuliza swali? Kwani kuuliza ni ujinga jamani?
 
Usisahau Ajira za sasa;
uchawa
Ubansa
Ushoga.
Havihitaji Elimu.
 
Kuna Dr (PhD) holder alilia Moro pale baada ya kutumbuliwa,Kuna professor alimwita magu Mungu baba, Kuna mapro wengi waliteuliwa kwenda kuwa wakuu wa wilaya wakaacha kufanya tafiti za maana, Kuna wale wamejaa bungeni wanaofanya bunge kama mijadala ya watoto shuleni, wasomi ndio hao na hawana impact, tufikie sehemu tuangalie matokeo yanyotokana na talents za watu siyo elimu, coz humu kwetu elimu ni kama pambo tu , Haina tija kwa taifa,hata wanaofanya vizuri na Wana elimu wamechagizwa na uwezo binafsi zaidi
Kweli bana,
miradi mingi inafeli, inajiendesha kwa hasara na waliopo pale ni Wasomi.
Na ukiomba vyeti vyao, wanakuja navyo kwa msaada wa Toyo
Matokeo sasa!!!
 
Kuna yule Prof aliulizwa swali kidogo apate strok , yale maswali angeyajibu fresh tu Zimbwe
 
F4 FAILURE
Wewe mwenye ya chuo ukafika wapi? Humgusi nukta japo yuko off saa nyingine ....ametumia alicho nacho kufika alipo....anakojolea pazuri analala pazuri chooni hakuoti jani...ana connection ya watu wakubwa wewe vp?
 
Back
Top Bottom