kwa-muda
JF-Expert Member
- Sep 5, 2018
- 2,097
- 5,348
ana bachelor of comedy from kaole group.Mwenye kufahamu kiwango cha juu cha ELIMU ya huyu mtangazaji/ Msanii Nguli tafadhali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ana bachelor of comedy from kaole group.Mwenye kufahamu kiwango cha juu cha ELIMU ya huyu mtangazaji/ Msanii Nguli tafadhali
Wengine wanaishia kujigalagaza tu mavumbini na phd zao 😁! Hapo sasa tuna msaada gani na usomi wao!Kweli bana,
miradi mingi inafeli, inajiendesha kwa hasara na waliopo pale ni Wasomi.
Na ukiomba vyeti vyao, wanakuja navyo kwa msaada wa Toyo
Matokeo sasa!!!
Kwa kina gigy money?sawa itamfaaHuyo tumpeleke shule ya msingi keko Magurumbasi ,ndiyo watu wa aina yake wanakozalishwa
nakuomba PM mkuuAna master's ya uchawi, serikali ya ccm inayoongozwa Na samia, ni rahisi sana kutoboa maisha ukiwa Na master s ya uchawa kuliko mwenye diploma ya utabibu
Kweli bana,
miradi mingi inafeli, inajiendesha kwa hasara na waliopo pale ni Wasomi.
Na ukiomba vyeti vyao, wanakuja navyo kwa msaada wa Toyo
Matokeo sasa!!!
Nichekinakuomba PM mkuu
Hakuna shida Dada.La saba C Mgulani primary school...kwani kuna shida?
Elimu za ukubwani hazibadili(gi) ubongo sana,hasa KWA ambaye tangu enzi zake udogoni hakuwa mtamu darasaniHawa wasanii wakishafika kwenye redio wanajiongeza na elimu za jioni ,hivi unaweza kuamini kwamba Dr Kumbuka ana Degree ya Mass Communication? Usione ukadhani Fitina titi la paka halifai kwa mtindi.
sawaNicheki
Tena cv tu kama unasoma jarida la Bongo enzi zile,😅Kweli bana,
miradi mingi inafeli, inajiendesha kwa hasara na waliopo pale ni Wasomi.
Na ukiomba vyeti vyao, wanakuja navyo kwa msaada wa Toyo
Matokeo sasa!!!