Benokolongokonongose
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 213
- 52
Habarini zenu!
Naomba kujua jinsi ya kupima kiwango cha mafuta mwilini. Kuna mtu kasema kuwa unatumia tape measure ila maelezo yake hayaingii akilini. Anasema unapima shingo,kiuno,hips,tumbo,urefu. Unajumlisha zote unagawa kwa nusu ya kila namba. Msaada tafadhali naona yeye ni mbabaishaji. Asante. Wenu,
Benokolongokonongose
Naomba kujua jinsi ya kupima kiwango cha mafuta mwilini. Kuna mtu kasema kuwa unatumia tape measure ila maelezo yake hayaingii akilini. Anasema unapima shingo,kiuno,hips,tumbo,urefu. Unajumlisha zote unagawa kwa nusu ya kila namba. Msaada tafadhali naona yeye ni mbabaishaji. Asante. Wenu,
Benokolongokonongose