vanmedy
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 2,701
- 1,406
Kuna siledi ya mishahara ya Serikali, ina maana tunakosea? Mbona mishahara ya bunge kila leo tunaisikia?
kijanaaa.. acha utata... its better akaenda ofisi ya utumishi katika halmashauri iliyo karibu naye akaombe waraka wa mishahara wa kada za utumishi wa umma