Trubetzkoy
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 349
- 678
Omba kujua kwanza idara zilizopo ktk taasisi hizo ili ujue kama hao uliotaja ni wakuu wa idara au la, asanteHabari ndugu watanzania. Ni imani yangu kuwa mu buheri wa afya.
Katika mfumo wa uongozi wa elimu huwa kuna afisa elimu (mkoa, wilaya) ambapo chini yake wanakuwepo wakuu wa idara mbalimbali mfano, idara ya taaluma (afisa elimu taaluma), idara ya takwimu (afisa elimu takwimu) etc.
Naomba kujua kiwango cha mshahara wanachopata hawa watu. Pia ningependa kufahamu upatikanaji wa hivi vyeo, ni mamlaka ipi inayohusika na uteuzi wa hawa watu?
Msaada tafadhali.
Mbona nyingi Sana! halafu afisa mwenyewe analipwa kiasi gani?Milioni 3
Naomba kujua ndugu mtanzania mwenzanguOmba kujua kwanza idara zilizopo ktk taasisi hizo ili ujue kama hao uliotaja ni wakuu wa idara au la, asante
Hakuna Kiwango cha mshahara kwa mkuu wa Idara Bali watu hulipwa kwa ngazi ya mshahara kulingana na sifa zake kitaaluma/kitaalam. Ukuu wa Idara Ni uteuzi/temporaryNaomba kujua ndugu mtanzania mwenzangu
Ukiwa mkuu wa idara halmashauri unachukua m3.Hakuna Kiwango cha mshahara kwa mkuu wa Idara Bali watu hulipwa kwa ngazi ya mshahara kulingana na sifa zake kitaaluma/kitaalam. Ukuu wa Idara Ni uteuzi/temporary
Wanateuliwa na nani?Hakuna Kiwango cha mshahara kwa mkuu wa Idara Bali watu hulipwa kwa ngazi ya mshahara kulingana na sifa zake kitaaluma/kitaalam. Ukuu wa Idara Ni uteuzi/temporary
Aisee!Ukiwa mkuu wa idara halmashauri unachukua m3.
#MaendeleoHayanaChama
Mkuu wa Idara wa Halmshauri hulipwa 3.4 million maana ni scale ya LSEE Ila hawa wa chini yake mfano afisa elimu taaluma sio wakuu wa Idara na Wana scale ya mshahara wa kawaida tuu kama walimu wengine Ila Wana advantage ya seminar, workshop's, training, Extra duty , perdiemHabari ndugu watanzania. Ni imani yangu kuwa mu buheri wa afya.
Katika mfumo wa uongozi wa elimu huwa kuna afisa elimu (mkoa, wilaya) ambapo chini yake wanakuwepo wakuu wa idara mbalimbali mfano, idara ya taaluma (afisa elimu taaluma), idara ya takwimu (afisa elimu takwimu) etc.
Naomba kujua kiwango cha mshahara wanachopata hawa watu. Pia ningependa kufahamu upatikanaji wa hivi vyeo, ni mamlaka ipi inayohusika na uteuzi wa hawa watu?
Msaada tafadhali.
Utofauti wao ukoje mkuu wa idara na afisa elimu taaluma?Mkuu wa Idara wa Halmshauri hulipwa 3.4 million maana ni scale ya LSEE Ila hawa wa chini yake mfano afisa elimu taaluma sio wakuu wa Idara na Wana scale ya mshahara wa kawaida tuu kama walimu wengine Ila Wana advantage ya seminar, workshop's, training, Extra duty , perdiem
Dah ila serikalini bhana...mi private sector hiyo salary nilikuaga napata 6 years ago kama net salary. Gross ilikua 5 na tulikua tunaona normalMkuu wa Idara wa Halmshauri hulipwa 3.4 million maana ni scale ya LSEE Ila hawa wa chini yake mfano afisa elimu taaluma sio wakuu wa Idara na Wana scale ya mshahara wa kawaida tuu kama walimu wengine Ila Wana advantage ya seminar, workshop's, training, Extra duty , perdiem
Hao wachini wote hupokea mishahara ya walimu kulingana na daraja lake. Hakuna maajabu chagua CCM mwalimu utaisoma nambaHabari ndugu watanzania. Ni imani yangu kuwa mu buheri wa afya.
Katika mfumo wa uongozi wa elimu huwa kuna afisa elimu (mkoa, wilaya) ambapo chini yake wanakuwepo wakuu wa idara mbalimbali mfano, idara ya taaluma (afisa elimu taaluma), idara ya takwimu (afisa elimu takwimu) etc.
Naomba kujua kiwango cha mshahara wanachopata hawa watu. Pia ningependa kufahamu upatikanaji wa hivi vyeo, ni mamlaka ipi inayohusika na uteuzi wa hawa watu?
Msaada tafadhali.
Laki 5Mbona nyingi Sana! halafu afisa mwenyewe analipwa kiasi gani?
Mh?Milioni 3
Idara ni kama wizara kule serikali kuu, wawakilishi wa wizara kwa halmashauri,Utofauti wao ukoje mkuu wa idara na afisa elimu taaluma?