Kiwango cha Soka Tanzania Kimepanda au cha Afrika Kimeshuka?

Kiwango cha Soka Tanzania Kimepanda au cha Afrika Kimeshuka?

Logikos

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2014
Posts
15,460
Reaction score
24,233
Wakati natafakari hayo najiuliza zaidi. Je, Ulaya na Hususan UK Premier League inadumaza viwango vya Mpira Sehemu Nyingine?

Kulikuwa na wakati nchi tofauti zina vionjo tofauti, Afrika Nguvu na Showboating, Brazil Ginga Football n.k.; Nilisoma article moja ya Academy huko Brazil kwamba sasa hivi vijana wote ambao walikuwa wanajifunzia mitaani aina yao ya soka (Ginga) sasa hivi academy zinawafundisha na kuwatayarisha kwa ajili ya Soko la Ulaya. Kwahio template imekuwa ni kujifunza ili uweze kucheza Ulaya. Mtu kama Neymar kuna kipindi watu walimjia juu kwanini anafanya showboating na kuaibisha wenzake badala ya kutoa pasi haraka.

Ingekuwa enzi zile National Al Ahly ipo katika Peak huenda Mo Salah angekuwa anawachezea na asingekuwa Liverpool (ingawa ni bora kwa kuitangaza Egypt) kwa yeye kuwa Liverpool lakini nikichukua case study ya wachezaji wengine lukuki inaleta picha isiyopendeza.

Kuna Talent za kumwaga zinanunuliwa na hizi Big Teams za huko Ulaya / UK na kutumia muda wao mwingi wakiwa wamekaa Bench. Talent hizi huenda zingekuwa kwao zingeweza kufanya makubwa kwa Timu zao. Au ni bora kukaa mkeka ulaya na kupata kitita kikubwa kuliko kupata playtime kwenu kwa kitita kidogo?
 
Watu wanacheza kutafuta pesa, kama kuna timu unaweza kumlipa Mane vile anavyolipwa Ulaya wakamsajili uone kama atakataa kucheza Africa.

Watu wameacha ligi yao ya DRC wamekuja ligi ya bongo, sio kuifanya iwe ligi bora bali wamefuata malipo bora kuliko yale ya kule kwao.
 
Watu wanacheza kutafuta pesa, kama kuna timu unaweza kumlipa Mane vile anavyolipwa ulaya wakamsajili uone kama atakataa kucheza africa.
Unadhani Messi akiamua kwenda Arabuni hatalipwa Pesa zaidi ya anazolipwa PSG ? Ofcourse hafanyi hivyo sababu kucheza kwake ulaya zaidi ya kufanya anachopenda kwenye ligi yenye ushindani pia long term anapata sponsorship na matangazo yenye malipo zaidi...

Kumbuka hapa Keyword ni kucheza na sio kukaa Mkeka hivi unadhani mtu kama Pierre-Emerick Emiliano François Aubameyang tangia amekwenda Chelsea zaidi ya ku-warm the bench amefanya nini; si bora huo muda angekuwa anasukuma gozi huko Gabon au timu yoyote nyingine ?
Watu wameacha ligi yao ya DRC wamekuja ligi ya bongo, sio kuifanya iwe ligi bora bali wamefuata malipo bora kuliko yale ya kule kwao.
Hao jamaa wamekuja Bongo kucheza au kukalia Mkeka ? Na je ni kweli wote hao waliokuja / wanaokuja wana viwango kuliko waliopo ? au ni basi tu sababu wametoka nje.... Na hao wa DRC wanaokuja huku ni Grade A, B, C au D ? Sababu kama ni A nadhani na wao wangekuwa kule Ufaransa... wanacheza au kukalia mkeka
 
Soka la AFRIKA lipo juu na kitaendelea kuwa juu sababu waafrika wanaofanya vizuri katika soka la dunia wote mashahidi.

Lakini pia kinachofanya soka la AFRIKA kuonekana linashuka ni mfumo wa uongozi tulionao waafrika katika masuala mazima ya mpira

Rushwa imetawala,tamaa na mengine YENYE kufanana na hayo
 
Wakati natafakari hayo najiuliza zaidi; Je Ulaya na Hususan UK Premier League inadumaza viwango vya Mpira Sehemu Nyingine ?

Kulikuwa na wakati nchi tofauti zina vionjo tofauti, Afrika Nguvu na Showboating, Brazil Ginga Football n.k.; Nilisoma article moja ya Academy huko Brazil kwamba sasa hivi vijana wote ambao walikuwa wanajifunzia mitaani aina yao ya soka (Ginga) sasa hivi academy zinawafundisha na kuwatayarisha kwa ajili ya Soko la Ulaya..., Kwahio template imekuwa ni kujifunza ili uweze kucheza Ulaya..., Mtu kama Neymar kuna kipindi watu walimjia juu kwanini anafanya showboating na kuaibisha wenzake badala ya kutoa pasi haraka !!!

Ingekuwa enzi zile National Al Ahly ipo katika Peak huenda Mo Salah angekuwa anawachezea na asingekuwa Liverpool (ingawa ni bora kwa kuitangaza Egypt) kwa yeye kuwa Liverpool lakini nikichukua case study ya wachezaji wengine lukuki inaleta picha isiyopendeza....

Kuna Talent za kumwaga zinanunuliwa na hizi Big Teams za huko Ulaya / UK na kutumia muda wao mwingi wakiwa wamekaa Bench....; Talent hizi huenda zingekuwa kwao zingeweza kufanya makubwa kwa Timu zao......; Au ni bora kukaa mkeka ulaya na kupata kitita kikubwa kuliko kupata playtime kwenu kwa kitita kidogo ?
hayo yote mawili ni sahihi
 
Wakati natafakari hayo najiuliza zaidi. Je, Ulaya na Hususan UK Premier League inadumaza viwango vya Mpira Sehemu Nyingine?

Kulikuwa na wakati nchi tofauti zina vionjo tofauti, Afrika Nguvu na Showboating, Brazil Ginga Football n.k.; Nilisoma article moja ya Academy huko Brazil kwamba sasa hivi vijana wote ambao walikuwa wanajifunzia mitaani aina yao ya soka (Ginga) sasa hivi academy zinawafundisha na kuwatayarisha kwa ajili ya Soko la Ulaya. Kwahio template imekuwa ni kujifunza ili uweze kucheza Ulaya. Mtu kama Neymar kuna kipindi watu walimjia juu kwanini anafanya showboating na kuaibisha wenzake badala ya kutoa pasi haraka.

Ingekuwa enzi zile National Al Ahly ipo katika Peak huenda Mo Salah angekuwa anawachezea na asingekuwa Liverpool (ingawa ni bora kwa kuitangaza Egypt) kwa yeye kuwa Liverpool lakini nikichukua case study ya wachezaji wengine lukuki inaleta picha isiyopendeza.

Kuna Talent za kumwaga zinanunuliwa na hizi Big Teams za huko Ulaya / UK na kutumia muda wao mwingi wakiwa wamekaa Bench. Talent hizi huenda zingekuwa kwao zingeweza kufanya makubwa kwa Timu zao. Au ni bora kukaa mkeka ulaya na kupata kitita kikubwa kuliko kupata playtime kwenu kwa kitita kidogo?
Soka la Bongo limepanda.
Zamani vi timu uchwara vya sijui Gabon, Uganda, etc vingeweza kututisha. Lakin siku hizi vinachapwa nje ndani.

Timu kama Horoya inachapwa na Simba kama watoto wadogo. Au Yanga anamfunga timu kutoka NIGERIA Tena pale pale Nigeria usingeona hii hapo kabla. TP Mazembe alikua anatutisha, ukisikia tu unaoangwa nae unaanza kupata kihoro kabla ya mechi.

Kiwango kimepanda sababu watu wameamua kuweka hela zao. Wachezaji mbalimbali walio Bora kuliko wetu wamekuja kwenye ligi yetu sababu ya hela iliyoko.
 
Soka la Bongo limepanda.
Zamani vi timu uchwara vya sijui Gabon, Uganda, etc vingeweza kututisha. Lakin siku hizi vinachapwa nje ndani.

Timu kama Horoya inachapwa na Simba kama watoto wadogo. Au Yanga anamfunga timu kutoka NIGERIA Tena pale pale Nigeria usingeona hii hapo kabla. TP Mazembe alikua anatutisha, ukisikia tu unaoangwa nae unaanza kupata kihoro kabla ya mechi.

Kiwango kimepanda sababu watu wameamua kuweka hela zao. Wachezaji mbalimbali walio Bora kuliko wetu wamekuja kwenye ligi yetu sababu ya hela iliyoko.
Na la Afrika kwa ujumla limeshuka ?
 
Unadhani Messi akiamua kwenda Arabuni hatalipwa Pesa zaidi ya anazolipwa PSG ? Ofcourse hafanyi hivyo sababu kucheza kwake ulaya zaidi ya kufanya anachopenda kwenye ligi yenye ushindani pia long term anapata sponsorship na matangazo yenye malipo zaidi...

Kumbuka hapa Keyword ni kucheza na sio kukaa Mkeka hivi unadhani mtu kama Pierre-Emerick Emiliano François Aubameyang tangia amekwenda Chelsea zaidi ya ku-warm the bench amefanya nini; si bora huo muda angekuwa anasukuma gozi huko Gabon au timu yoyote nyingine ?

Hao jamaa wamekuja Bongo kucheza au kukalia Mkeka ? Na je ni kweli wote hao waliokuja / wanaokuja wana viwango kuliko waliopo ? au ni basi tu sababu wametoka nje.... Na hao wa DRC wanaokuja huku ni Grade A, B, C au D ? Sababu kama ni A nadhani na wao wangekuwa kule Ufaransa... wanacheza au kukalia mkeka
Umeshasema messi akikaa psg anapata dili za matangazo yanayomlipa zaid,, kwahiyo umesharudi kwenye pesa tayar ndo maana kaamua kubak psg
 
Umeshasema messi akikaa psg anapata dili za matangazo yanayomlipa zaid,, kwahiyo umesharudi kwenye pesa tayar ndo maana kaamua kubak psg
Not necessarily PSG ana-option ya Champions League lakini pound for pound na uzee wake huenda miaka yake iliyobaki arabuni angepata zaidi; Barcelona wanataka kumrudisha (akirudi ni for a pay cut ambayo ni ndogo kuliko aliyokuwa anapata kabla hajaondoka)

Alafu zingatia Messi PSG anacheza wengi ninaowaongelea kutoka pande hizi huko ni part time players...., Mane mwenyewe Bayern tangia aende Bench limekuwa likimfaidi...,
 
Umeshasema messi akikaa psg anapata dili za matangazo yanayomlipa zaid,, kwahiyo umesharudi kwenye pesa tayar ndo maana kaamua kubak psg

Cristiano Ronaldo has become the world's highest-paid athlete for the first time since 2017 following his move to Saudi Arabian side Al Nassr.

Forbes report the 38-year-old Portugal forward earned $136m (£108.7m) over the past 12 months.

His contract with Al Nassr is reportedly worth more than 200m euros (£176.5m) per year.

Argentina's World Cup-winning captain Lionel Messi is second on Forbes' list having earned $130m (£103.9m).
 
Back
Top Bottom