ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Tunapowaambia kwamba Chini ya Rais Samia,Tanzania imeipita Kenya kwenye maendeleo muwe mnaelewa.
Haya Sasa hizi ni takwimu za Idada ya Takwimu ya Kenya ,Haters wote mnaitwa huku mje kusema ni chawa ππ.
Hongera Rais Samia Kwa kazi nzuri inayoleta matokeo.ππ
View: https://x.com/cobbo3/status/1879497053929443646?t=R5uZik427iO2JT2AUon0xg&s=19
My Take
Machadomo na Baadhi ya Wafuasi wa Mwendazake wanaumia kimya kimya ππ
Soma zaidi hapa Rais William Ruto aipongeza Tanzania kwa kuongoza na kuipiku Kenya kwenye sekta ya biashara Afrika Mashariki
Bado Hadi 2030 mtanuna sana maana rekodi zitawekwa na kuvunjwa na mtakubali kwamba Samia ni level za Weupe huko.
View: https://www.instagram.com/p/DEyvzU_NwP9/?igsh=dXl3cHVudXRwOTBm
View: https://www.instagram.com/reel/DE3zpIdNAH1/?igsh=Y3ptN285Nzl2ZHNw
Haya Sasa hizi ni takwimu za Idada ya Takwimu ya Kenya ,Haters wote mnaitwa huku mje kusema ni chawa ππ.
Hongera Rais Samia Kwa kazi nzuri inayoleta matokeo.ππ
View: https://x.com/cobbo3/status/1879497053929443646?t=R5uZik427iO2JT2AUon0xg&s=19
My Take
Machadomo na Baadhi ya Wafuasi wa Mwendazake wanaumia kimya kimya ππ
Soma zaidi hapa Rais William Ruto aipongeza Tanzania kwa kuongoza na kuipiku Kenya kwenye sekta ya biashara Afrika Mashariki
Bado Hadi 2030 mtanuna sana maana rekodi zitawekwa na kuvunjwa na mtakubali kwamba Samia ni level za Weupe huko.
View: https://www.instagram.com/p/DEyvzU_NwP9/?igsh=dXl3cHVudXRwOTBm
View: https://www.instagram.com/reel/DE3zpIdNAH1/?igsh=Y3ptN285Nzl2ZHNw