Kiwango cha umaskini nchini Kenya chaongezeka na kufikia asilimia 40%.Tanzania na Rwanda zaongoza kwa Maisha Bora

Kiwango cha umaskini nchini Kenya chaongezeka na kufikia asilimia 40%.Tanzania na Rwanda zaongoza kwa Maisha Bora

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Tunapowaambia kwamba Chini ya Rais Samia,Tanzania imeipita Kenya kwenye maendeleo muwe mnaelewa.

Haya Sasa hizi ni takwimu za Idada ya Takwimu ya Kenya ,Haters wote mnaitwa huku mje kusema ni chawa πŸ˜‚πŸ˜‚.

Hongera Rais Samia Kwa kazi nzuri inayoleta matokeo.πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://x.com/cobbo3/status/1879497053929443646?t=R5uZik427iO2JT2AUon0xg&s=19

My Take
Machadomo na Baadhi ya Wafuasi wa Mwendazake wanaumia kimya kimya πŸ˜‚πŸ˜‚
Soma zaidi hapa Rais William Ruto aipongeza Tanzania kwa kuongoza na kuipiku Kenya kwenye sekta ya biashara Afrika Mashariki

Bado Hadi 2030 mtanuna sana maana rekodi zitawekwa na kuvunjwa na mtakubali kwamba Samia ni level za Weupe huko.

View: https://www.instagram.com/p/DEyvzU_NwP9/?igsh=dXl3cHVudXRwOTBm

View: https://www.instagram.com/reel/DE3zpIdNAH1/?igsh=Y3ptN285Nzl2ZHNw
 
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
Mama abdul akiona machawa yake yamempamba hivi meno yote nje.

Mafi matupu
Unaumia sana si ndio? Vumilia dozi Bado
Screenshot_20241229-205918.jpg
 
Tunapowaambia kwamba Chini ya Rais Samia,Tanzania imeipita Kenya kwenye maendeleo muwe mnaelewa.

Haya Sasa hizi ni takwimu za Idada ya Takwimu ya Kenya ,Haters wote mnaitwa huku mje kusema ni chawa πŸ˜‚πŸ˜‚.

Hongera Rais Samia Kwa kazi nzuri inayoleta matokeo.πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://x.com/cobbo3/status/1879497053929443646?t=R5uZik427iO2JT2AUon0xg&s=19

Kila nchi inatumia kipimo tofauti cha kupima umaskini, ukitaka kipimo cha kulinganisha tumia World Bank standard $2.15 kwa siku.
 
Kila nchi inatumia kipimo tofauti cha kupima umaskini, ukitaka kipimo cha kulinganisha tumia World Bank standard $2.15 kwa siku.
Kipimo ni kile kile Kwa mujibu wa terminologies za Uchumi na upimaji wake ni ule ule.
 
Back
Top Bottom