Kiwango cha umaskini nchini Kenya chaongezeka na kufikia asilimia 40%.Tanzania na Rwanda zaongoza kwa Maisha Bora

Kiwango cha umaskini nchini Kenya chaongezeka na kufikia asilimia 40%.Tanzania na Rwanda zaongoza kwa Maisha Bora

Aisee Moja kwahio kama Kenya na Somalia huko hata dunia nzima wakiwa masikini na wewe uwe masikini ? Hao wote wana Maziwa Makubwa Afrika, Mlima Mrefu Afrika, Vivutio vya Watalii na Nchi yenye Amani ambayo haina Civil Wars ?

Mbili unahitaji takwimu kukwambia kwamba kitaa hapakaliki ? Kama watu hawana disposable income wala kuweza kupata ujira wa uhakika hizo basic needs wanazitoa wapi (achana umasikini tu watu kitaa ni mafukara na wenyewe nazo wanangoja mshahara huu ili kulipa madeni ya mwezi juzi)...

Anyway ndio hivyo watu wamejikita kwenye Propaganda...

 
Aisee Moja kwahio kama Kenya na Somalia huko hata dunia nzima wakiwa masikini na wewe uwe masikini ? Hao wote wana Maziwa Makubwa Afrika, Mlima Mrefu Afrika, Vivutio vya Watalii na Nchi yenye Amani ambayo haina Civil Wars ?

Mbili unahitaji takwimu kukwambia kwamba kitaa hapakaliki ? Kama watu hawana disposable income wala kuweza kupata ujira wa uhakika hizo basic needs wanazitoa wapi (achana umasikini tu watu kitaa ni mafukara na wenyewe nazo wanangoja mshahara huu ili kulipa madeni ya mwezi juzi)...

Anyway ndio hivyo watu wamejikita kwenye Propaganda...

Tanzania sio maskini ,mbona unaongea Kwa kuweweseka?
 
Tanzania sio maskini ,mbona unaongea Kwa kuweweseka?
Acha kusubiri kuambiwa au kutegemea Statistics hizo zinaweza kutafsiriwa vyovyote unavyotaka...

Majibu ya hata Ulaya; USA wanafanya ni kupotoka (Statistics are like bikinis. What they reveal is suggestive, but what they conceal is vital.')

Kipimo cha kweli cha watu kwamba sio masikini ni kuweza kumudu matumizi yao na kubakia na savings za a rainy day (mambo yakienda ndivyo sivyo) Sasa kama watu wanachopata hakikidhi their day to day basics needs na hawana savings (wote ni wachuuzi na mtaji wao ni nguvu zao au siku wakiugua wanakula mpaka mtaji) huwezi kusema hao sio mafukara.

Kwahio badala ya kuendelea kushangilia mambo ya ajabu hao unawashangilia waulize / criticize tusiendelee kuharibu kesho yetu.., sababu upuuzi wao wa leo utakuja gharimu awamu zijazo

 
Acha kusubiri kuambiwa au kutegemea Statistics hizo zinaweza kutafsiriwa vyovyote unavyotaka...
Majibu ya hata Ulaya; USA wanafanya ni kupotoka (Statistics are like bikinis. What they reveal is suggestive, but what they conceal is vital.')

Kipimo cha kweli cha watu kwamba sio masikini ni kuweza kumudu matumizi yao na kupakia na savings za a rainy day (mambo yakienda ndivyo sivyo) Sasa kama watu wanachopata hakikidhi their day to day basics needs na hawana savings (wote ni wachuuzi na mtaji wao ni nguvu zao au siku wakiugua wanakula mpaka mtaji) huwezi kusema hao sio mafukara..., Kwahio badala ya kuendelea kushangilia mambo ya ajabu hao unawashangilia waulize / critizise tusiendelee kuharibu kesho yetu.., sababu upuuzi wao wa leo utakuja gharimu awamu zijazo
Hizo takwimu ni za USA? Kama takwimu hutaki picha huzioni? 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DE29hCLN_Sf/?igsh=MTV1bmFoNWxucGY1dQ==
 
Hizo takwimu ni za USA? Kama takwimu hutaki picha huzioni? 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DE29hCLN_Sf/?igsh=MTV1bmFoNWxucGY1dQ==

Kwahio nilivyokwambia Statistics are like Bikinis ulidhani naongelea kwamba uende ukanunue Bikini; Case in Point Uchumi wa India kwa macho ya kawaida unaweza kuwaona wapo Juu ila hakuna nchi yenye mafukara au classes (gaps) kama India..., You need to dig deeper sio kuchukua unachopewa ukizingatia anayekupa anataka uone alichokupa

 
Kwahio nilivyokwambia Statistics are like Bikinis ulidhani naongelea kwamba uende ukanunue Bikini

Kama takwimu hutaki,picha nazo huoni? 👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/DDsEjgitIZ8/?igsh=bjhkNDd5Z25jdnh2
 

Unahitaji picha kujua kwamba majority ujira wao hautoshelezi kupata basic needs zao ? Kama hauja ingia mtaani basi tafuta ukweli ni wangapi hawana ujira.., hata kama hauna uwezo wa kufanya hivyo basi jiulize kwanini zikija nafasi za kupata ajira watu 1500 wanakwenda maelfu na maelfu au inakuwaje mpaka wauguzi kitaa hawana ajira..., hence hata hao ambao tuna uhitaji hawajawa provided na ujira (kwa maneno mengine lack of means to sustain one's basic needs ndio umasikini wenyewe)
 
Unahitaji picha kujua kwamba majority ujira wao hautoshelezi kupata basic needs zao ? Kama haujia ingia mtaani au tafuta ukweli ni wangapi hawana ujira ndio maana ikija nafasi za kupata watu 1500 wanakwenda maelfu na maelfu au kuna mpaka wauguzi kitaa hawana ajira... (kwa maneno mengine lack of means to sustain one's basic needs ndio umasikini wenyewe)
Walipe wewe kwenye kiwanda chako ujira unaotosheleza naona unahamisha sana magoli
 
Walipe wewe kwenye kiwanda chako ujira unaotosheleza naona unahamisha sana magoli
Mimi nachukua Kodi za wananchi ? Mimi ndio nimeajiriwa kuleta Sera za kuhakikisha kwamba watu wanapata their basic needs ? Hao waliopo hapo juu kazi yao ni nini zaidi ya kumaliza maadui wetu watatu ambao hawajawahi kubadilika tangia ukoloni (Umasikini, Ujinga na Maradhi) na mimi takwambia hao wamezidi na wanaendelea kuzidi bora hapo kabla;

Elimu:ilikuwa bure ili tuondoe ujinga sasa hivi sio tu kwamba grants hazipo bali hata mikopo haipo yaani bado wanakusanya pesa badala ya kuzipeleka hata kuhakikisha tunaondoa ujinga lakini ajabu hata wenye uwezo kiakili, i.e. creme de la creme wanakosa mikopo (lakini bado kuna cheerleaders wanashangilia job well done)

Umasikini: Kuanzia mwanzo nakwambia sasa hivi watanzania ni masikini zaidi, kilichotokea middle income imepungua / kupotea kwahio kilichobakia ni extreme wealthy na extreme poor na ukija kwenye takwimu nyingi ambazo zinagawa pato kwa ujumla hazileti picha kamili kwamba wealthy ipo kwa wachache, au ukiwa myopic kama mwigulu kwa kuona namba E zimekuwa nyingi unaweza kujisifia kumbe hapo hapo kuna watu mpaka maiti za wapendwa wao zinazuiliwa hospitali kwa kukosa kulipia matibabu

Maradhi: Hapo kabla through mitishamba au hospitali kwa kupokea watu kwa gharama nafuu au matibabu kutokana na kodi zao waliweza angalau kujikimu na hili janga sasa hivi ndio kama nilivyokwambia hata matibabu yamekuwa Anasa...

Kwa Definition fupi mkuu..., huo si tu kwamba ndio umasikini bali ni UFUKARA..., Na badala ya kujilinganisha na watu ambao hawana resources kama sisi jiulize kwanini hatutumii resources zetu ili tuwe mfano wa kuigwa duniani let alone Africa..., Ila mwenzangu upo busy cheerleading...
 
Back
Top Bottom