Kiwango cha YANGA kinaficha udhaifu wa SIMBA SC

Kiwango cha YANGA kinaficha udhaifu wa SIMBA SC

De Opera

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2013
Posts
780
Reaction score
1,664
images (8).jpeg

Wakati tukiinyoshea Yanga kidole na kuituhumu kuwa kiwango kimeshuka basi, tusiisahau Simba pia. Tunajua Simba inaonekana kwa sababu Yanga anafanya vibaya. Simba inapata matokeo ambayo ni mpaka mtu ashike roho hadi mpira umalizike ndio aiachie. Ukiondoa mechi za ligi kuu.

Kwa kundi la CC alilopo Simba angekuwepo Yanga, Yanga angekuwa anaongoza kundi kwa points zote haijalishi stuation aliyo nayo sahivi. Zile timu zote ni vibonde kwa aina za uchezaji zilizoonesha hadi sasa na jinsi class ya Simba ilivyo.(Nipigeni mawe) 😁

Kinachoiangusha Yanga ni upungufu wa Saikolojia.

Tunaangalia gemu za CC alizocheza Simba. Kashinda kwa tabu, kapigwa kizembe. Simba hajakutana na timu ngumu.

Simba angekutana na Tp Mazembe, angekula si chini ya goli 2.

Simba angekutana na Mc Alger, angekula si chini ya goli 3.

Kocha wa Simba ni mzuri ila kwa wakati huu tu wa upepo. Ukitaka kujua, angalia subs anazofanya katika matarajio ambayo anapaswa kufanya sub za aina gani.

Kingine ni Wachezaji wa Simba hawajakumbushwa kutafuta kwanza goli, ubinafsi uje tukiwa tunaongoza magoli ya kutosha. Kila mchezaji anacheza kama anatafuta maisha yake mwenyewe.

Streika wa Simba wanaonekana hawana maana kwa sababu ya kirusi cha namba 10. Kinaangalia goli zaidi badala kiangalie nani kapita nimpe (Penetration pass).

Kagoma ni mchezaji ambaye sio poa kumuanzia nje kwa sababu ni mchezaji ambaye si mtu wa ku- label sana. Huyu huwa namuita mzee wa kuwagombansha(Gombania goli) zile krosi zake mara nyingi zimekuwa na faida kuliko za kapombe ambaye aidha zimgonge mpinzani na mpira utoke nje.

Mimi nimeona hivo, kwani wewe umeonaje? Eti mpwa?

#Ubaya_Ubwela #Simba_sc #Yanga

Mimi ni ubaya Ubwela, mwiko waachie wavuvi. 😄
 
Baki huko huko kwenye mwiko nyuma. Nyie si ndo mlisema mnabeba CCL mwaka huu🤣 imekuaje mtani!?.

Simba inajenga timu kwahiyo kiwango kupanda na kushuka ni kawaida mpka timu itakapojipata. Timu sio maharagwe kusema ukibandika baada ya masaa kadhaa yameiva, tulieniii muone ball linavyosukwa kitaalamu.

Halafu hukuona tulivyokishenyeta kikosi Cha bilioni +!?. Sie kwenda robo sio shida zetu tutaenda ndo mambo yetu tulozoea, sasa mtani unaongoza kundi kutoka chini, pwenti 1 kibindoni😅
 
Baki huko huko kwenye mwiko nyuma. Nyie si ndo mlisema mnabeba CCL mwaka huu🤣 imekuaje mtani!?.

Simba inajenga timu kwahiyo kiwango kupanda na kushuka ni kawaida mpka timu itakapojipata. Timu sio maharagwe kusema ukibandika baada ya masaa kadhaa yameiva, tulieniii muone ball linavyosukwa kitaalamu.

Halafu hukuona tulivyokishenyeta kikosi Cha bilioni +!?. Sie kwenda robo sio shida zetu tutaenda ndo mambo yetu tulozoea, sasa mtani unaongoza kundi kutoka chini, pwenti 1 kibindoni😅
😂😂 Mkuu, tubadilishane kundi, uje na points zako mimi nije na yangu 1.
 
Naona kama umehalalisha tu kuwa ni sawa yanga kupigwa na al hilal, kupigwa na mc alger na sare ya kuforce kwa tp mazembe, na hii ni kwasababu umejua kuwa timu yako ni mbovu,
 
View attachment 3183001
Wakati tukiinyoshea Yanga kidole na kuituhumu kuwa kiwango kimeshuka basi, tusiisahau Simba pia. Tunajua Simba inaonekana kwa sababu Yanga anafanya vibaya. Simba inapata matokeo ambayo ni mpaka mtu ashike roho hadi mpira umalizike ndio aiachie. Ukiondoa mechi za ligi kuu.

Kwa kundi la CC alilopo Simba angekuwepo Yanga, Yanga angekuwa anaongoza kundi kwa points zote haijalishi stuation aliyo nayo sahivi. Zile timu zote ni vibonde kwa aina za uchezaji zilizoonesha hadi sasa na jinsi class ya Simba ilivyo.(Nipigeni mawe) [emoji16]

Kinachoiangusha Yanga ni upungufu wa Saikolojia.

Tunaangalia gemu za CC alizocheza Simba. Kashinda kwa tabu, kapigwa kizembe. Simba hajakutana na timu ngumu.

Simba angekutana na Tp Mazembe, angekula si chini ya goli 2.

Simba angekutana na Mc Alger, angekula si chini ya goli 3.

Kocha wa Simba ni mzuri ila kwa wakati huu tu wa upepo. Ukitaka kujua, angalia subs anazofanya katika matarajio ambayo anapaswa kufanya sub za aina gani.

Kingine ni Wachezaji wa Simba hawajakumbushwa kutafuta kwanza goli, ubinafsi uje tukiwa tunaongoza magoli ya kutosha. Kila mchezaji anacheza kama anatafuta maisha yake mwenyewe.

Streika wa Simba wanaonekana hawana maana kwa sababu ya kirusi cha namba 10. Kinaangalia goli zaidi badala kiangalie nani kapita nimpe (Penetration pass).

Kagoma ni mchezaji ambaye sio poa kumuanzia nje kwa sababu ni mchezaji ambaye si mtu wa ku- label sana. Huyu huwa namuita mzee wa kuwagombansha(Gombania goli) zile krosi zake mara nyingi zimekuwa na faida kuliko za kapombe ambaye aidha zimgonge mpinzani na mpira utoke nje.

Mimi nimeona hivo, kwani wewe umeonaje? Eti mpwa?

#Ubaya_Ubwela #Simba_sc #Yanga

Mimi ni ubaya Ubwela, mwiko waachie wavuvi. [emoji1]
Hizo timu ulizozitaja Simba hawajawahi kucheza nazo? Nipe matokeo yao, tofautisha kati ya Simba na Yanga kiongozi. Samahani kwa kuandika ninachokiandika Yanga kipimo chao ni kwa kuifunga Simba [emoji2][emoji2], nisiendelee nikapoteza lengo nimeeleweka
 
Naona kama umehalalisha tu kuwa ni sawa yanga kupigwa na al hilal, kupigwa na mc alger na sare ya kuforce kwa tp mazembe, na hii ni kwasababu umejua kuwa timu yako ni mbovu,
😂😂 hapana Yanga sio mbovu, ni mambo tu yalivyo sasa yamewachanganya wachezaji.
 
Huu muda ungeutumia kuhakikisha mnaongeza point nyingine moja huko champions league maana mlivyopangiwa hilo kundi mlishangilia sana kwamba ni kundi rahisi leo tena unalialia
😂😂 haya ni maisha ya kutoijua kesho yako. Kuna mchongo walikuwa wanausikilizia na ulikuwa unatiki kabisa.
 
Hizo timu ulizozitaja Simba hawajawahi kucheza nazo? Nipe matokeo yao, tofautisha kati ya Simba na Yanga kiongozi. Samahani kwa kuandika ninachokiandika Yanga kipimo chao ni kwa kuifunga Simba [emoji2][emoji2], nisiendelee nikapoteza lengo nimeeleweka
Kama kipimo chao ni Simba, basi wastuke mapema. Wanauzwa! 😂
 
View attachment 3183001
Wakati tukiinyoshea Yanga kidole na kuituhumu kuwa kiwango kimeshuka basi, tusiisahau Simba pia. Tunajua Simba inaonekana kwa sababu Yanga anafanya vibaya. Simba inapata matokeo ambayo ni mpaka mtu ashike roho hadi mpira umalizike ndio aiachie. Ukiondoa mechi za ligi kuu.

Kwa kundi la CC alilopo Simba angekuwepo Yanga, Yanga angekuwa anaongoza kundi kwa points zote haijalishi stuation aliyo nayo sahivi. Zile timu zote ni vibonde kwa aina za uchezaji zilizoonesha hadi sasa na jinsi class ya Simba ilivyo.(Nipigeni mawe) 😁

Kinachoiangusha Yanga ni upungufu wa Saikolojia.

Tunaangalia gemu za CC alizocheza Simba. Kashinda kwa tabu, kapigwa kizembe. Simba hajakutana na timu ngumu.

Simba angekutana na Tp Mazembe, angekula si chini ya goli 2.

Simba angekutana na Mc Alger, angekula si chini ya goli 3.

Kocha wa Simba ni mzuri ila kwa wakati huu tu wa upepo. Ukitaka kujua, angalia subs anazofanya katika matarajio ambayo anapaswa kufanya sub za aina gani.

Kingine ni Wachezaji wa Simba hawajakumbushwa kutafuta kwanza goli, ubinafsi uje tukiwa tunaongoza magoli ya kutosha. Kila mchezaji anacheza kama anatafuta maisha yake mwenyewe.

Streika wa Simba wanaonekana hawana maana kwa sababu ya kirusi cha namba 10. Kinaangalia goli zaidi badala kiangalie nani kapita nimpe (Penetration pass).

Kagoma ni mchezaji ambaye sio poa kumuanzia nje kwa sababu ni mchezaji ambaye si mtu wa ku- label sana. Huyu huwa namuita mzee wa kuwagombansha(Gombania goli) zile krosi zake mara nyingi zimekuwa na faida kuliko za kapombe ambaye aidha zimgonge mpinzani na mpira utoke nje.

Mimi nimeona hivo, kwani wewe umeonaje? Eti mpwa?

#Ubaya_Ubwela #Simba_sc #Yanga

Mimi ni ubaya Ubwela, mwiko waachie wavuvi. 😄
Kila timu ijitetee kimpango wake bila kuitaja timu ingine.Kila mmoja afe kivyake na si kusingizia wengine.
 
Mkuu, itunze post yangu. 😁
Niliyosema ndiyo hayo hayo yamekuwepo leo.
Siyo sababu ya kuwaeleza watu wazima wenye fikra chanya.Yanga wacheze mpira wao kama ambavyo Simba wacheze kivyao.Visingizio na kutwishana sababu ni zaidi ya ulozi.
 
Back
Top Bottom