Migomba JF-Expert Member Joined Nov 30, 2013 Posts 945 Reaction score 1,337 Sep 20, 2014 #1 Kiwanja kinauzwa vikindu jirani na chuo kikuu kipya St. Augustine. Kina ukubwa ekari moja bei 15m. Kamata fursa hii kwani wengi hawafahamu kuwa kuna university inakaribia kufunguliwa Vikindu, na bei za viwanja zinapanda kwa kasi.
Kiwanja kinauzwa vikindu jirani na chuo kikuu kipya St. Augustine. Kina ukubwa ekari moja bei 15m. Kamata fursa hii kwani wengi hawafahamu kuwa kuna university inakaribia kufunguliwa Vikindu, na bei za viwanja zinapanda kwa kasi.