Kiwanja cha Jay Dee kupigwa mnada baada ya kushindwa kulipa deni la mkopo

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
6,067
Reaction score
10,938
Habari wanajamvi,

Baada ya Judith Wambura Habash kushindwa kulipa mkopo aliokopa,nyumba yake iliyopo Mivumoni,Kinondoni imewekwa sokoni kwa ajili ya kupigwa mnada.

Mtakumbuka kuwa sasa hata Bar yake ya M.O.G imefungwa muda sasa.

Tumuombee Anaconda maana anapita kwenye wakati mgumu sana sasa hivi.

 
Mkopo kutoka bank gani,Shiling ngapi?
 
Pole Jide,ni mapito tu hayo ila nakuomba rudiana namumeo usijali watu watasema nini
 
Last edited by a moderator:
Jide mwenyewe yupo dubai likizo..... (according to insta lakini)


Japo Dawa ya deni ni kulipa lakini kiburi ndio kimechangia zaidi huyu dada kufikishwa hapa!

Mtu mwenye utimamu anafungaje biashara ambayo ndio sababu ya yeye kuchukua mkopo? Kwenye hili sakata tutajua mengi lazima jide afunguke soon!

Hahahah usiniambie ubuyu utakosekana hadi pale atakapopona???

Teh Teh
Warumi kakimbizwa india kwa matibabu ya pressure
 
Nyumba hii itanunuliwa na Clouds media ili kumuokoa Jide au atalipiwa deni!
 
Kikwete mtu wa watu akamwombe ampige tafu wasogeze siku kama komba
Then aombe tumchangie
 
dah!kumbe saa 4 ndio mnada nimechelewa kidogo tu
 
Jide mwenyewe yupo dubai likizo..... (according to insta lakini)




Hahahah usiniambie ubuyu utakosekana hadi pale atakapopona???

Teh Teh... Kutokiwepo kwake hakusitishi mnada...! Nyumba yake inanuliwa na maadui zake....!

Kama kuna uwezekano wa kuanza kukusanya michango basi tukusanye maana sidhani kama warumi atarudi mzima..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…