Plot4Rent Kiwanja cha makazi kinauzwa maeneo ya Chanika Mwisho - Dar es Salaam

Gerco

Senior Member
Joined
Sep 11, 2016
Posts
154
Reaction score
62
Eneo: Mtaa wa kwa wa mbili - Zogoali
Bei: Tsh. 1,300,000/=
Umeme Upo na maji yapo
Ukubwa : mita 13/13 au miguu 18 kwa 18
Hakuna Dalalii
Piga namba 0627864823

 

Attachments

  • IMG_21062020_215100_(1080_x_1080_pixel)_35265.jpg
    189.1 KB · Views: 4
  • chanika 2.jpg
    227.9 KB · Views: 6
Chukua laki 9 cash kama kweli unakiuza ni kidogo sana kwa kujenga nyumba njoo pm tuyajenge
 
Umeme ushafika kama inavyoonekana nguzo kwenye picha karibuni
 
Hilo shamba la Mpunga ndio linauzwa?
Mkuu ondoa wasiwasi hvo ni viwanja tena havina shida ndo maana unaona kwenye picha jirani watu wamejenga na wanaishi maybe hujawahi kufika hyo mitaa ukipata muda katembelee hiyo mitaa ya kwa wambili utajionea mwenyewe palivyojengeka
 
Mkuu ondoa wasiwasi hvo ni viwanja tena havina shida ndo maana unaona kwenye picha jirani watu wamejenga na wanaishi maybe hujawahi kufika hyo mitaa ukipata muda katembelee hiyo mitaa ya kwa wambili utajionea mwenyewe palivyojengeka
Mkuu, sehemu ambayo mpunga unastawi unasema hakuna shida? unajua mahitaji ya mpunga kustawi hivyo?
 
Kiwanja kipo karibu na huduma zote ikiwemo zahanati na shule ya watoto
 
Pata kiwanja cha makazi kwa bei poa
 
Kiwanja kipo 0.5 km kutoka barabara kuu
 

Attachments

  • IMG_21062020_214538_(1080_x_1080_pixel)_41005.jpg
    211.9 KB · Views: 7
Hapo ni bonde la maji? Yanatuama?
 
Hapo ni bonde la maji? Yanatuama?
Hapana mkuu ni kiwanja ambacho hakina shida ndo maana ukiangalia jirani watu wanaendelea kujenga kama kawaida ukipata mda tembelea chanika mwisho ukajionee mazingira na kwa kukuibia siri tu chanika ina asili ya kichanga maji hayakai na hautakuja kusikia chanika kuna mafuriko hata siku moja
 
Reactions: amu
Mkuu jirani kujenga si tatizo.

Na kuwa na mchanga pia si tatizo.
Kiwanja kikiwa kwenye bonde ni tatizo sana.
 
Mkuu jirani kujenga si tatizo.

Na kuwa na mchanga pia si tatizo.
Kiwanja kikiwa kwenye bonde ni tatizo sana.
Poa mkuu ukipata muda njoo uone mazingira mtaa wetu hauna shida
 
Reactions: amu
Kwa wa mbili? mbona kama maji yanatuama sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…