Kiwanja cha ukubwa huu naweza kujenga nyumba ya ukubwa huu?

Kiwanja cha ukubwa huu naweza kujenga nyumba ya ukubwa huu?

Kama hujui dimensions vizuri hasa namna ya kubadiri Ft into meter unaweza kudhani Kiwanja cha 18 Kwa 22 ni kikubwa kumbe ni Kiwanja cha wastani wa Urefu wa mita 7 Kwa 6.

Sasa Kiwanja cha Ukubwa huo utawezaje kujenga nyumba pamoja na Choo chake?? Hata nyumba ya Chumba kimoja huwezi kutoa maana utakosa sehemu ya kujenga choo.

Unless uwe na hela, Chini ujenge choo then juu ujenge hiko Chumba na sebule.
 
Ni either hujui vipimo au hujui hesabu
Hiyo square metre 396 umeipataje? Hizo ni feet ulipasaa uzipeleke kwenye metre. Hizo ni sawa na mita 5.4 kwa mita 6.7
Hapo ndio uzidishe
Nilikosea, nilizidisha meter kwenda square meter, nimepitiwa.

Kwenye plot hakunaga mambo ya futi ndio maana nashangaa kiwanja tunaambiwa habari za futi, mimi najuwa hesabu za futi ni za wajenzi.
 
Hizo ni square meter 396, unaweza kujenga nyumba bila shida na fence.
Dr hizi square meters umepataje?.

Acha kumdanganya mwenzio, narudia tena usimdanganye kaka wa watu

Unaidhalilisha PhD asee
 
Nina kiwanja cha upana feet 18 na urefu feet 22 naweza kujenga nyumba ya vyumba vitatu sebule dining room na kitchen room Choo bafu ndani na nje?
hicho kiwanja kipindi unakinunua ulikiona? au ndo unataka ujue kama nyumba unayotaka itatosha ndo ununue?

Hicho kiwanja ni kidogo sana hakitoshi nyumba unayoitaka,
 
Nina kiwanja cha upana feet 18 na urefu feet 22 naweza kujenga nyumba ya vyumba vitatu sebule dining room na kitchen room Choo bafu ndani na nje?
Kama hujui Units of measurements aisee mambo yanakuwa magumu, jitahidi hata ujue units za msingi kama units of length, mass, time, capacity. and their convertions.

umeuliza hizo feet 18 na 20 ni units of length,
iko hivi ruler uliyotumia shuleni ile ya 30Cm huo urefu ndio futi moja sasakubadili hizo feet ukizidisha mara 30 unapta Cm halafu gawa kwa mia unapata mita.

18feet = 18 × 30Cm = 540Cm
22feet = 22 × 30Cm = 660Cm

Badili izo centimeters to meters (1meter = 100Cm)

540Cm = 5.4 × 100Cm =5.4meter
660Cm = 6.6 × 100Cm = 6.6meter

sasa kiwanja chako dimensions ni 5.4m × 6.6m,
ukichimba shimola choo lenye radius 5 feet litachukua 7metre square.
hili shimo lina diameter 3m yaani litakaakwenye kiwanja nafasi itayobaki fanya kutoa 3m kwenye hizo dimensions itabaki 2.4m × 3.6m bado hujaacha uchochoro maana huwezi kujenga nyumba kwenye mpaka, bado nafasi kati ya shimo na nyumba.

chumba kidogo sana cha kulala ni 3m × 3m, kiwanja chako ukiweka shimo la choo tayari hiki chumba kidogo hakitoshi.
 
Kama hujui Units of measurements aisee mambo yanakuwa magumu, jitahidi hata ujue units za msingi kama units of length, mass, time, capacity. and their convertions.

umeuliza hizo feet 18 na 20 ni unist of length,
iko hivi ruler uliyotumia shuleni ile ya 30Cm huo urefu ndio futi moja sasakubadili hizo feet ukizidisha mara 30 unapta Cm halafu gawa kwa mia unapata mita.

18feet = 18 × 30Cm = 540Cm
22feet = 22 × 30Cm = 660Cm

Badili izo centimeters to meters (1meter = 100Cm)

540Cm = 5.4 × 100Cm =5.4meter
660Cm = 6.6 × 100Cm = 6.6meter

sasa kiwanja chako dimensions ni 5.4m × 6.6m,
ukichimba shimola choo lenye radius 5 feet litachukua 7metre square.
hili shimo lina diameter 3m yaani litakaakwenye kiwanja nafasi itayobaki fanya kutoa 3m kwenye hizo dimensions itabaki 2.4m × 3.6m bado hujaacha uchochoro maana huwezi kujenga nyumba kwenye mpaka, bado nafasi kati ya shimo na nyumba.

chumba kidogo sana cha kulala ni 3m × 3m, kiwanja chako ukiweka shimo la choo tayari hiki chumba kidogo hakitoshi.
Shimo la choo linatokea chni ya chumba mambo yasiwe mengi.. mwamba anakimbia kodi. Kachoka kusimangwa
 
Back
Top Bottom