Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miguu ya 20 kwa 20 nyie mnaotoa ushauri mmeelewa ni sawa na Mita ngapi?Wakuu habarini za majukumu?
Kama kichwa cha habari kinavosema je kwa ukubwa wa kiwanja hicho naweza jenga nyumba ya vyumba vinne kimoja masta public toilet pamoja na store kisha nikapata nafasi ya kuchumbia kisima kirefu pamoja na parking?
Naomba kuwasilisha kwenu 🙏
Kinatosha sanaWakuu habarini za majukumu?
Kama kichwa cha habari kinavosema je, kwa ukubwa wa kiwanja hicho naweza jenga nyumba ya vyumba vinne kimoja masta public toilet pamoja na store kisha nikapata nafasi ya kuchimba kisima kirefu pamoja na parking?
Naomba kuwasilisha kwenu 🙏
Hv kumbe hawapimi kwa meter wanatumia miguu?Miguu 20 kwa 20 ni kidogo mnoo mkuu, tofautisha miguu kwa METER, zingekuwa ni meter 20 kwa 20 kingetosha bila tabu.
Kipimo cha miguu ni kidoogo mnoo.Hv kumbe hawapimi kwa meter wanatumia miguu?
Wakuu habarini za majukumu?
Kama kichwa cha habari kinavosema je, kwa ukubwa wa kiwanja hicho naweza jenga nyumba ya vyumba vinne kimoja masta public toilet pamoja na store kisha nikapata nafasi ya kuchimba kisima kirefu pamoja na parking?
Naomba kuwasilisha kwenu
Kinatosha bila shaka yyte wala usipate wasiwasi....kiwanja mita 20 kwa 20 maana yake ni 400sqm ni kiwanja standard kabisa....siongei kwa ushabiki bali mm nadesign raman na kusimamia ujenzi...km hatua ni kubwa za mtu mzima bs wanasema ni sawa na mita tu.Wakuu habarini za majukumu?
Kama kichwa cha habari kinavosema je, kwa ukubwa wa kiwanja hicho naweza jenga nyumba ya vyumba vinne kimoja masta public toilet pamoja na store kisha nikapata nafasi ya kuchimba kisima kirefu pamoja na parking?
Naomba kuwasilisha kwenu 🙏
Hizo ni mita sio miguuMimi ndugu yangu ana 20 kwa 15, amejenga vyumba vinne, kisima na imbaki paking ya gari mbili ndogo