Plot4Sale Kiwanja chenye msingi kinauzwa

mninga dume

Member
Joined
Jun 18, 2016
Posts
49
Reaction score
29
Kipo Tegeta-Madale Dar es salaam. Karibu na Flamingo. Kina ukubwa wa mita 20×25. Msingi wa vyumba 3. Vyoo vya ndani 2, sitting & dining rooms. Mawasiliano:- 0788886038.
 
Kipo Tegeta-Madale Dar es salaam. Karibu na Flamingo. Kina ukubwa wa mita 20×25. Msingi wa vyumba 3. Vyoo vya ndani 2, sitting & dining rooms. Mawasiliano:- 0788886038.

Japo kapicha tu
 
Mkuu hiyo sehemu iko salama..? Yaani una hati au haina migogoro..? Naomba ni PM tufanye biashara!!
 
Bado hapajauzwa. Pako salama. Hakuna mgogoro wowote. Napamiliki kwa miaka 7 mpaka sasa.
 
Hati ya mauziano ya shamba/kiwanja.
 

Attachments

  • 1476422111024.jpg
    55.8 KB · Views: 52
Bado kipo. Nimesafiri kidogo. Nimemwachia mdogo wangu asimamie kila kitu na ana kila kitu. Namba zake za simu ni 0763295000 na 0712295000.
 
leta kingine..
biashara nzuri unafanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…