Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila picha ni sawa na chai bila sukari.Vipi wadau,kiwanja kizuri kwa kujenga(flat) kinauzwa Zingiziwa Hospital.Bei 5,000,000.Tuwasiliane kwa namba 0677089280.
Zingiziwa ni mkoa gani, nyie mnafikiri kila mtu anaishi hapo mnakoishi.Vipi wadau,kiwanja kizuri kwa kujenga(flat) kinauzwa Zingiziwa Hospital.Bei 5,000,000.Tuwasiliane kwa namba 0677089280.
Chanika, wilaya ya Ilala(Dar as salaam)Zingiziwa ni mkoa gani, nyie mnafikiri kila mtu anaishi hapo mnako ishi.
Picha hii hapaView attachment 2473469View attachment 2473470Bila picha ni sawa na chai bila sukari.
Kipo sokoni bado, changamkia.
Mita 20 kwa mita 30.Kina ukubwa gan?
Ni Ilala hiyo mkuu.Jijini hapo,Zingiziwa.Sasa kweli kiwanja kinauzwa Ruvuma ndo bei ya mil 5. Kweli Ruvuma tena nje ya mji kabisa ndani ndani huko ndo mil5? Haoana mkuu shusha bei kidogo
Kama unapafahamu Jf utakuwa umeelewa nini hasa lengo la comment yangu.Ni Ilala hiyo mkuu.Jijini hapo,Zingiziwa.
Serikali imepiga marufuku hivi viwanjaKiwanja kinauzwa mbezi malamba king’azi njia ya kinyerezi kwenda mbezi Bei 8 million ukubwa 20 kwa 25 piga simu 0693300971