TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
Tushatoka hukoHatua za binadamu kubwa 15x15
Acha kuleta squatters
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tushatoka hukoHatua za binadamu kubwa 15x15
SawaTushatoka huko
Acha kuleta squatters
Duuh sawaKitatosha vyumba vitatu tuh kwa ukubwa wa hatua 5 kila chumba
what is miguu? is there standard miguu known to measurements? why not take proper measurements by standard units?Miguu yaani hatua kubwa za 15x15
vitu gani hivi?
Jenga nyumba kwa kwenda juu.Usiisambaze kama unaanika udaga kwenye jiwe Wanyaturu wanaita ng'ongo.Itatosha hadi vyumba 7000.Habari za jioni ndugu zangu,
Naomba kuuliza kiwanja chenye ukubwa wa 15x15 kinaweza kutosha nyumba ya vyumba vitatu sebule jiko na choo Kwa wanaojua naombeni msaada mnijulishe wadau maana Kuna sehemu nataka nianze ujenzi
Minimum size ya chumba NI sq 12 (4*3=12), hivyo vyumba 3 Sawa na 36sqm, sebule minimum size 5*um =28sqm, bafu 2.5*3m=7.5sqm, dining 4.5.*4=18sqm , minimum, kitaalamu ni small size, But not recommended much, weka parking, ya magari3, 30sqm. Weka chemba na Sehem ya maji ..16dqm, nk alafu Kumlisha hizo, then Toa kwenye 225sqm. Ila nashauri Tumia MEDIUM SIZE ROOM. sio small sizeHabari za jioni ndugu zangu,
Naomba kuuliza kiwanja chenye ukubwa wa 15x15 kinaweza kutosha nyumba ya vyumba vitatu sebule jiko na choo Kwa wanaojua naombeni msaada mnijulishe wadau maana Kuna sehemu nataka nianze ujenzi
Akirudi na swali apigwe makwenzi.Minimum size ya chumba NI sq 12 (4*3=12), hivyo vyumba 3 Sawa na 36sqm, sebule minimum size 5*um =28sqm, bafu 2.5*3m=7.5sqm, dining 4.5.*4=18sqm , minimum, kitaalamu ni small size, But not recommended much, weka parking, ya magari3, 30sqm. Weka chemba na Sehem ya maji ..16dqm, nk alafu Kumlisha hizo, then Toa kwenye 225sqm. Ila nashauri Tumia MEDIUM SIZE ROOM. sio small size View attachment 3035387
SawaJenga nyumba kwa kwenda juu.Usiisambaze kama unaanika udaga kwenye jiwe Wanyaturu wanaita ng'ongo.Itatosha hadi vyumba 7000.
SawaKinatosha kibishi
Sawa kakaKama ni mita hapo ni 225sqm. Viwanja vingi vya Sinza ni 225sqm na kuna nyumba na parking ya gari moja. Hata Mikocheni kuna viwanja hivyo vya 225sqm.
Hizi ramani nyingine mtasabisha wanyama kama ndege wakimbie miji maana nyumba zunawatisha muonekano wake kama Jini.
Hii setting akiibadili ikawa ghorofa atakuwa amecheza kweli. Unajua ghorofa zinasave sana space na kuweka muonekano mzuri sana.Minimum size ya chumba NI sq 12 (4*3=12), hivyo vyumba 3 Sawa na 36sqm, sebule minimum size 5*um =28sqm, bafu 2.5*3m=7.5sqm, dining 4.5.*4=18sqm , minimum, kitaalamu ni small size, But not recommended much, weka parking, ya magari3, 30sqm. Weka chemba na Sehem ya maji ..16dqm, nk alafu Kumlisha hizo, then Toa kwenye 225sqm. Ila nashauri Tumia MEDIUM SIZE ROOM. sio small size View attachment 3035387