Kiwanja kikali cha gharama ndogo Dar ni kipi? Mgeni nipo huku

Kiwanja kikali cha gharama ndogo Dar ni kipi? Mgeni nipo huku

Mkuu angalia usije ukamaliza likizo yako ukiwa Umeibeba MI-WIRE
 
Saa hiz nimehamia masakii.... Sometimes liquid, na tabata uko Ila sinza ntarud
Liquid uwa naiona imekaa kushoto sana.. Tabata nako wale wale tu, labda kidogo The Great Park ila PK Sport, Kitambaa na hii yenye kapool kadogo kama bwawa la bata hapa Tabata Bima sijawahi ielewa.
 
Liquid uwa naiona imekaa kushoto sana.. Tabata nako wale wale tu, labda kidogo The Great Park ila PK Sport, Kitambaa na hii yenye kapool kadogo kama bwawa la bata hapa Tabata Bima sijawahi ielewa.
Liquid naendaga nikiwa kigambon ndo karibu...... Ila siez toka sinza mpk liquid aaah km nahama[emoji1787]
 
Masaki kiwanja gani? Mitaa ya National Anthem
Weekend hii Jumamos na Jumapili nakuja uko kuangalia mashindano ya Formula 1
Napendelea zaidi.....
WAVUVI
Havoc bar
Cape Town
.
Uko kwingn naenda tu kuona mazingira,
Km moyo kitchen, salad for days, meikaf, choma inn yep broh
 
Liquid uwa naiona imekaa kushoto sana.. Tabata nako wale wale tu, labda kidogo The Great Park ila PK Sport, Kitambaa na hii yenye kapool kadogo kama bwawa la bata hapa Tabata Bima sijawahi ielewa.
Na Juliana.... Au pale 25 lounge..... Kidimbwiii sipendelei kwenda kabisaa
 
Back
Top Bottom