Plot4Sale Kiwanja kiko Goba Sqm 940 kwa 18 milion

Plot4Sale Kiwanja kiko Goba Sqm 940 kwa 18 milion

Mtego wa Noti

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2010
Posts
2,591
Reaction score
1,616
Kiwanja kikubwa cha mita za mraba 940 na kimepimwa kiko Goba wilaya ya Ubungo umbali wa kilomita 2 kutoka Goba senta. Kiwanja ni mali yangu mwenyewe hivyo hapa hakuna udalali, nifate inbox tuyajenge moja kwa moja upate kiwanja kwa bei nafuu. Karibu sana
IMG_20220213_093032_680.jpg
 
Kiwanja kikubwa cha mita za mraba 940 na kimepimwa kiko Goba wilaya ya Ubungo umbali wa kilomita 2 kutoka Goba senta. Kiwanja ni mali yangu mwenyewe hivyo hapa hakuna udalali, nifate inbox tuyajenge moja kwa moja upate kiwanja kwa bei nafuu. Karibu sana
Ungeweka picha...huwa inapendeza
 
Kiwanja kikubwa cha mita za mraba 940 na kimepimwa kiko Goba wilaya ya Ubungo umbali wa kilomita 2 kutoka Goba senta. Kiwanja ni mali yangu mwenyewe hivyo hapa hakuna udalali, nifate inbox tuyajenge moja kwa moja upate kiwanja kwa bei nafuu. Karibu sanaView attachment 2118121
Kipo umbali gani kutoka barabara ya lami ya Goba?
 
Karibuni wakuu kiwanja bado kiko sokoni kwa bei poa tu. Panga muda uje tukione ujipatie eneo zuri kwa bei sawa na bure
 
Kiwanja kikubwa cha mita za mraba 940 na kimepimwa kiko Goba wilaya ya Ubungo umbali wa kilomita 2 kutoka Goba senta. Kiwanja ni mali yangu mwenyewe hivyo hapa hakuna udalali, nifate inbox tuyajenge moja kwa moja upate kiwanja kwa bei nafuu. Karibu sanaView attachment 2118121
Mkuu hiyo sehemu iliyofekwa ndio kiwanja chenyewe? Nakuja inbox tuzungumze
 
Wakuu naamini mko salama. Naendelea kuwakumbusha mjipatie kiwanja kwa bei nafuu sana. Njooni tuyajenge mpate kiwanja kwa bei rahisi
 
Wakuu sana karibuni bado eneo linawasubiri mlipate kwa bei cheeee kabisa. Njoo inbox tuyajenge. Hapo palipofyekwa ndio eneo lenyewe hasa ambalo liko sokoni
IMG_20220213_093032_680.jpg
 
Back
Top Bottom