Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa kama ni wa kuja (munyamahanga) ana anataka kurudi mumahanga kwao (overlake) anafanyaje?Sikuhizi bukb mnauza ardhi..kweli dunia inabadilika..?
#MaendeleoHayanaChama
sq m 800 kwa 5M very cheap! au kuna maji maji (lutunga)Kiwanja kinauzwa bukoba nyanshenye bukoba mjini kwa wazawa wa kagera.
~Size 20x40m
~Price milion 5
~Negotiation is there.
~whatsap 0767579770View attachment 2197385View attachment 2197386View attachment 2197387
Toina shumuni ?sq m 800 kwa 5M very cheap! au kuna maji maji (lutunga)
Bukoba mjini ardhi inauzwa vzr tu...Sikuhizi bukb mnauza ardhi..kweli dunia inabadilika..?
#MaendeleoHayanaChama
Wahay kama wachaga hawauzagi ardhi..mpaka vikao vya ukoo vikubali...mji mzima umezungukwa na migomba...hata nyumba hazionekani.sasa kama ni wa kuja (munyamahanga) ana anataka kurudi mumahanga kwao (overlake) anafanyaje?
Kama wakuja utauziwa ardhi mbovu sana..mabondeni au kwenye mawe.Bukoba mjini ardhi inauzwa vzr tu...
Taina iyela ogu namubona.Chonka si nyanshenye luba lutunga si owaishe😆Toina shumuni ?
Nobaza baza
Olutunga nikwo chonka eshimuni tainayo nabaza baza😀Taina iyela ogu namubona.Chonka si nyanshenye luba lutunga si owaishe😆
Mimi mwenyewe nashangaa au kwa vile sikumbuki Nyanshenye iko wapi. Bukoba mjini na bei rahisi hivisq m 800 kwa 5M very cheap! au kuna maji maji (lutunga)
Mbona kuna eneo zuri sana kata za buhembe nshambya na ihungo kuna wasukuma wajaluo wakurya kibao tu....Kama wakuja utauziwa ardhi mbovu sana..mabondeni au kwenye mawe.
#MaendeleoHayanaChama
Umeona eh! Nyanshenye ni mjini kabisa...Mimi mwenyewe nashangaa au kwa vile sikumbuki Nyanshenye iko wapi. Bukoba mjini na bei rahisi hivi
wewe wasema!Toina shumuni ?
Nobaza baza