okyo
JF-Expert Member
- Mar 16, 2013
- 2,003
- 1,507
- Thread starter
- #21
Alafu kipo njiani kabisa kwenye barabara za mtaa nikipata nafasi nitaweka ramani ya icho kiwanja kilipo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu samahani najua kwa mujibu wa Sheria hati za ardhi Tanzania zinatolewa na wizara ya ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi kwa niaba ya Rais. Sijakulewa unavyosema kuwa hati imetolewa na manispaa ya ilala?.Mkuu ni kiwanja kimepimwa kina hati miliki ya manispaa ya ilala ilo block zima zimepimwa sio vile vya kujipimia mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah nimevurugwa tu mkuu hati ni ya wizara ya ardhi bana utaratibu ndo umefanywa na manispaa ya ilalaMkuu samahani najua kwa mujibu wa Sheria hati za ardhi Tanzania zinatolewa na wizara ya ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi kwa niaba ya Rais. Sijakulewa unavyosema kuwa hati imetolewa na manispaa ya ilala?.
Nimependa majibu yako...naomba unijibu mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mchakato mzima wa upimaji ulifanywa na manispaa ya ilala hati zikatolewa na wizara ya ardhi nyumba na maendeleo ya makazi mkuu samahani kwa kutelezaMkuu samahani najua kwa mujibu wa Sheria hati za ardhi Tanzania zinatolewa na wizara ya ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi kwa niaba ya Rais. Sijakulewa unavyosema kuwa hati imetolewa na manispaa ya ilala?.
Nimependa majibu yako...naomba unijibu mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jirani yako hauzi niunganishe viwe 2?Icho ambacho kimezungushiwa peni nyekundu kwa mbele yake ni barabara View attachment 1423442
Sent using Jamii Forums mobile app
Hati ya Manispaa ya wizara ya Ardhi ndio ikoje hiyo?Mkuu ni kiwanja kimepimwa kina hati miliki ya manispaa ya wizara ya ardhi
Sent using Jamii Forums mobile app
Makosa ya kiuhandishi mkuu samahaniHati ya Manispaa ya wizara ya Ardhi ndio ikoje hiyo?
Msamaha umekubaliwa nakutakia mafanikio mema ukiuze hicho kiwanja
Shukrani sanaMsamaha umekubaliwa nakutakia mafanikio mema ukiuze hicho kiwanja
Ajabu sanaNa nyie manispaa mnapimaje kakiwanja kadogo hv? Ukijenga ukaweka fence kanaingia ka ist tu nafasi hakuna
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kiuhalisia sio kila mtanzania anaweza kumiliki kiwanja kikubwa sana kulingana na gharama hivo hii inamsaidia hata mtu ambae anakipato cha kati kuweza kupata ardhi na kujenga nyumba ya ndoto zake kiwanja ni kidogo lakin nyumba standard inakaa apo na parking unapata angalia kwa mfano sinza kuna viwanja vidogo sana pale lakin watu wamejenga vizuri tu na maisha yanaendaelea