Ramon Abbas
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 1,964
- 3,913
- Thread starter
- #21
Hizo sehem umetaja hakuna makazi ya kubana mkuu.Hivi makazi ya kuanzia pale Usagara hadi Buhongwa... ni uswahilini?
Nina Tsh 4 million nahitaji kiwanja ndani ya Mwanza. Pasiwe uswahilini (mbanano wa makazi holela). Pafikike kwa gari kutokea lami njia kuu.
Cc: Ramon Abbas
Cc: Nijosnotes
karibu tukutembeze maeneo mengi ujionee