Asante mkuuWatakuja mkuu,kila la kheri.
Kwa nduli hiyo bei kubwa sana.
Asante mkuu! Kama unahitaji njoo tuyajenge, hatuwezi kushindwana.Kwa nduli hiyo bei kubwa sana.
Kigonzile kwa sasa naona kumeanza kujaa sio kule miaka mitatu iliyopita ambako yalikua mashamba tuSanaa.
Hivi Nduli na Kigonzile wapi mjini?
Sanaa.
Hivi Nduli na Kigonzile wapi mjini?
[/QUOTSanaa.
Hivi Nduli na Kigonzile wapi mjini?Kitu kizuri kuhusu viwanja ni kuwa unaona porini leo unapapuuzia afu ukipita baada ya mwaka unakuta watu wameshusha majengo. Unaanza kupatamani na usipate kiwanja tenaKigonzile kwa sasa naona kumeanza kujaa sio kule miaka mitatu iliyopita ambako yalikua mashamba tu
Bosi umetumia kigezo gani kupaita nduli chaka? Nduli ndipo kilipo kiwanja cha ndege, ndio njia kuu ya kuelekea makao makuu ya nchi Dodoma. Na ni moja ya sehemu zinazojengeka kwa sasa.Muuzaj unajua unachokifanya au unauza uza tu...mil3.5...mkoan halaf bado chaka na bado unapima kwa hatua za miguu..wakat kwa hatua hzo hzo nakupeleka dar sehem inaitwa kivuke unapata kwa mil 2 or less liwanja kama hko..hebu jiongeze bwa mdogo...fanya utafit...
Pia maji na umeme vinapatikana eneo hilo.Muuzaj unajua unachokifanya au unauza uza tu...mil3.5...mkoan halaf bado chaka na bado unapima kwa hatua za miguu..wakat kwa hatua hzo hzo nakupeleka dar sehem inaitwa kivuke unapata kwa mil 2 or less liwanja kama hko..hebu jiongeze bwa mdogo...fanya utafit...