Plot4Sale Kiwanja kinauzwa kibaha Miembe 7 mita 600 toka morogoro road

kamwa10

Member
Joined
Jan 16, 2013
Posts
84
Reaction score
20
Nauza kiwanja kiko miembe sana kibaha , karibu na morogoro road , umbali ni kama nusu kilometa Yaani mita 600 hivi toka main road. kiwanja kikubwa mita 55 Kwa 26 . Bei ni 13m
Nina shida ya haraka. Karibuni namba yangu 0674223223 mimi ni mmiliki mwenyewe. Karibuni
View attachment 2434662
View attachment 2434662
 
Malizia Tangazo

Kiwanja kimepimwa?
Kina Hati ( Title deed) ? Hapa nazungumzia Hati miliki kutoka wizara ya Ardhi

(55m × 26m) = 1430SQ

Kiwanja cha ukubwa huo na kipo 0.6Km from Morogoro road sio cha kuacha

Note: Me sio mnunuaji nimejaribu kutafakari tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakina hati, kiko pazuri sana Nina shida tu ya haraka. Piga simu Kwa maongezi zaidi na kuja kukiona
Nataka kiwanja kama hiki lakini naona Kibaha hapanivutii kivile. Ngoja waje wengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…