mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Mbaya zaidi tulikua tunaona tuna pesa lakini ulikua ukikusanya ukafikisha hiyo million 10 yako anakuja mwenzio anaomba wamuuzie kiwanja hicho hicho kwa million 20Afu kweli asee, unakutaa kakiwanja 20x20 milioni kumi
Ilifikia hatua heri kununua nyumba S.A. kuliko kununua kiwanja Dar es salaam
Sijui wale watu waliokua na yale mapesa wako wapi sasaivi na mimi leol niwauzie lakini kwa bei ya serikali