Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kigamboni Sqm 4000 kina hati, ukuta, maji, umeme

Sniper

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2008
Posts
1,957
Reaction score
827
Kiwanja kinauzwa Kigamboni karibu na Hamidu City. Kiwanja kina hati, kimezungushiwa fensi na kina ukubwa wa Square Metres 4000 (Eka moja). Umeme na maji vipo. Bei Milioni 250, maongezi yapo.

Ni inbox au Mawasiliano ya moja kwa moja Whatsapp/Msg 0775880218. Hakuna dalali...

 
Hio kwenye picha ni minazi au migomba?
 
Hivi thamani (bei elekezi) ya serikali kwa square metre moja kwa Kigamboni ni kiasi gani? Nauliza tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…