Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Mkuu kuna watu wananunua. Goba Kulangwa na Mbweni nako ni hivi hivi.
Mbweni sawa, tena kuna viwanja sqm 1 inafika hadi 150,000...
Goba mmmmhh...
Kigamboni hapana...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kuna watu wananunua. Goba Kulangwa na Mbweni nako ni hivi hivi.
Ajabu ni kwamba kuna viwanja kuanzia laki 2 na nusu hadi bilioni moja.Madalali huwa wanaonaga kama watu wengine pesa wanaokota jalalani sijui kwanini wao hawaokoti.
Milioni 250 sinajiokotea mapare yangu 2 sinza kila mwisho wa mwezi najiokotea milioni 2 maisha yanaenda?
Mkuranga mita 1 ya mraba 12,000/-.62,500 kwa mita moja ya mraba
Goba Kulangwa pale kuna vigogo kama Makala, DC wa zamani Ilala, Bashe na wengine. Halafu ni plateau yenye upepo mwanana ndiyo maana bei juuMbweni sawa, tena kuna viwanja sqm 1 inafika hadi 150,000...
Goba mmmmhh...
Kigamboni hapana...
Mkuranga mita 1 ya mraba 12,000/-
Halafu unakuta kina mita za mraba 1,000 tu sawa na robo hekaNimeona ni 50,000 hadi 120,000
Hadi 1000 wengine 700Hadi 2,300 vipo
Niliwahi kununua kule. Nikaona havipandi bei nikauza chapHadi 1000 wengine 700
Eka moja ni sawa na mita za mraba 4,046.8564224.Eka moja ina mita 70x70= mita za mraba 4,900.
Kwa hiyo kipo chini ya heka.
Ila inasemekana kitaalamu eka moja huwa mita za mraba 4,000 na siyo 4,900.
Mkuu tukiendaga kwa wakulima tunawapiga 70x70=4,900.Eka moja ni sawa na mita za mraba 4,046.8564224.
Ukikadiria, eka moja ni sawa na 4047 M²
Pole sana.Mkuu tukiendaga kwa wakulima tunawapiga 70x70=4,900.
Tena sehemu kama Kiteto unaenda na mpiga hatua wako mrefu mwenye hatua kubwa. Badala ya 70 anakupigia 90 au mia.
Na hii kwao ndiyo sheria.
Kuna mmoja alinipa 120x90 ambayo ni sawa na mita za mraba 10,800 yaani eka mbili kwa sheria zao + mita mraba 1,000 zaidi.
Kuna mahali waliingia kingi ila mwenyeji akanikonyeza
Hujanielewa mimi ndiye nilipimiwa na kuuziwa 70x70=4,900Pole sana.
Eka za vipimo vyetu local ni kubwa sana kuliko eka halisia ambayo kitalaamu ina ukubwa wa 4047M².
Hii ni sawa na kusema 63.61M ×63.61 M.
Hata ukipima 70M ×70M bado ni wizi, ila hiyo ya hatua ni unyanganyi na hujuma iliyopitiliza.
SawasawaHujanielewa mimi ndiye nilipimiwa na kuuziwa 70x70=4,900
hekari moja: ni mita za mraba 4,096 ambayo ni sawa kusema 64m×64m.Eka moja ina mita 70x70= mita za mraba 4,900.
Kwa hiyo kipo chini ya heka.
Ila inasemekana kitaalamu eka moja huwa mita za mraba 4,000 na siyo 4,900.