Plot4Sale Kiwanja kinauzwa. Kipo karibu na daraja la kigamboni

Plot4Sale Kiwanja kinauzwa. Kipo karibu na daraja la kigamboni

NAREI

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2017
Posts
1,730
Reaction score
1,660
salaam,
kiwanja kinauzwa, kipo kigamboni mara tu baada ya kuvuka daraja jipya, upande wa kulia (karibu na kanisa la roma (RC)
MAELEZO ya kiwanja
kina jumla ya sqm 746
kina offer tayari ( surveyed)
kimezungushiwa fensi ya ukuta.
N. B
mwenyewe anauza kwa haraka kutokana na dharura aliyoipata.

bei ni 26m. (negotiable)

kwa muhitaji aliye serious hii si ya kukosa kwaajili ya kufanya project ya kibiashara (hotel, apartments etc)

contact: 0756 832833 (only serious clients)
IMG-20180915-WA0092.jpg
View attachment 867436View attachment 867439
IMG-20180915-WA0077.jpg
IMG-20180915-WA0075.jpg
IMG-20180915-WA0082.jpg
IMG-20180915-WA0076.jpg
 

Attachments

  • IMG-20180915-WA0049.jpg
    IMG-20180915-WA0049.jpg
    101.8 KB · Views: 28
Mh! 746 square meters kwa milioni 26 mkuu?

Aisee...
 
Mh! 746 square meters kwa milioni 26 mkuu?

Aisee...
according to my experience kulingana na location na hati miliki ya kiwanja ni reasonable kabisa mkuu.
hushangai kiwanja kipo kibamba kina sqm 625 kibauzwa 15m na hapo ni squatters.
 
KIWANJA KINAUZWA KIGAMBONI KARIBU NA CHANGANI BEACH, UKUBWA WAKE NI SQM 930,KIMEPIMWA NA KINA HATI MILIKI KUTOKA WIZARA YA ARDHI,BEI YAKE NI MIL 9
 
Back
Top Bottom