MWAKIGOBE Member Joined Nov 1, 2010 Posts 65 Reaction score 3 May 19, 2011 #1 Kiwanja hiki kipo maeneo ya ubungo msewe karibu na chuo kikuu cha dar es salaam. Kina nyumba mbili ambazo bado hazijapauliwa, na eneo lina miti mizuri ya kivuli. Bei ni mil. 35 za kitanzania. 0719646407.
Kiwanja hiki kipo maeneo ya ubungo msewe karibu na chuo kikuu cha dar es salaam. Kina nyumba mbili ambazo bado hazijapauliwa, na eneo lina miti mizuri ya kivuli. Bei ni mil. 35 za kitanzania. 0719646407.
M mwalwisi Member Joined Oct 6, 2010 Posts 45 Reaction score 22 May 20, 2011 #2 MWAKIGOBE said: Kiwanja hiki kipo maeneo ya ubungo msewe karibu na chuo kikuu cha dar es salaam. Kina nyumba mbili ambazo bado hazijapauliwa, na eneo lina miti mizuri ya kivuli. Bei ni mil. 35 za kitanzania. 0719646407. Click to expand... Kina ukubwa gani? kina hati?
MWAKIGOBE said: Kiwanja hiki kipo maeneo ya ubungo msewe karibu na chuo kikuu cha dar es salaam. Kina nyumba mbili ambazo bado hazijapauliwa, na eneo lina miti mizuri ya kivuli. Bei ni mil. 35 za kitanzania. 0719646407. Click to expand... Kina ukubwa gani? kina hati?
MWAKIGOBE Member Joined Nov 1, 2010 Posts 65 Reaction score 3 May 20, 2011 Thread starter #3 hati zipo, ukubwa wake ni takribani hekari moja.
N nyamagaro JF-Expert Member Joined Feb 25, 2010 Posts 394 Reaction score 104 May 20, 2011 #4 Heka 1, million 35.No Unaongopa!