MoseKing
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 4,928
- 8,976
Hizi Ni tamaa uchwara, kampuni inapimaje Kiwanja 20*16???
Vijana nawashauri kama kweli mnahitaji makazi mazuri yenye future nzuri, tafuta Kiwanja maeneo yanayokua halafu nunua angalau square metres kuanzia 600+ .
Hakuna sababu ya kuwa na haraka sanaa kama mtu anataka kufanya kitu cha uhakika
Vijana nawashauri kama kweli mnahitaji makazi mazuri yenye future nzuri, tafuta Kiwanja maeneo yanayokua halafu nunua angalau square metres kuanzia 600+ .
Hakuna sababu ya kuwa na haraka sanaa kama mtu anataka kufanya kitu cha uhakika