HABARI WANA JF HUSIKA NA KICHA CHA HABARI HAPO JUU.
KIWANJA KINAUZWA
Maeneo ya Mwanagati karibu na shule ya Mzinga English Medium.
Umbali wa kilometa 7 kutoka Banana ( Nyerere Road ).
Eneo: 35,394 sqm.
Bei: 800,000 USD ( Maongezi yapo ondoa shaka ).
ENEO:
Limepimwa na lina Hati halali ya umiliki. ( Lilinunuliwa kwa matumizi ya shule ).
Kuna nyumba moja ya vyumba viwili na sebule.
Lina Mazao: ( minazi na miembe).
Pia lina Mnara wa simu ( Airtel ).
Maji na umeme vinapatikana
KWA MAWASILIANO ZAIDI:
+255 716 808 888
+255 655 823 141
KARIBUBI NYOTE.
Nimeweka baadhi ya picha hapo chini kuonyesha hali halisi ya eneo hilo.