Plot4Sale Kiwanja kinauzwa maeneo ya Mwanagati (Dar es salaam )

Mwanagati hata Mimi Nauza Changu bei 50M pamepimwa Hati kila kitu kipo... Kuna vyumba vinne
 
Kiwanja chenye ukubwa wa ft72 *51 eneo LA magore kaburi moja karibu na shule ya msingi mafanikio,kitunda ukonga,DSM. kinauzwa tshs9,000,000/=,barabara hadi mlangoni,kinafaa kwa frem za biashara,kimepimwa kienyeji cont 0629 500 010.
 
Kiwanja chenye ukubwa wa ft72 *51 eneo LA magore kaburi moja karibu na shule ya msingi mafanikio kinauzwa tshs9,000,000/=,barabara hadi mlangoni,kinafaa kwa frem za biashara,kimepimwa kienyeji cont 0629 500 010.
Napafahamu hapo Kigoma wilaya ya Uvinza utapata wateja faster eneo zuri sana...
 
Njaa aliyosababisha Magu acha kabisa... Viwanja haviuziki na ukikaa nacho sana anapewa Bakhresa bure...

Mkuu kwani Airtel wamepunguza mgao wa mwaka kwa kuweka mnara kwenye kiwanja chako?
 
Njaa aliyosababisha Magu acha kabisa... Viwanja haviuziki na ukikaa nacho sana anapewa Bakhresa bure...

Mkuu kwani Airtel wamepunguza mgao wa mwaka kwa kuweka mnara kwenye kiwanja chako?

Mgao kama kawaida mkuu. Ni contract ya muda maalum. Na kiwango ukikikubali ndio una sign!!
 
kwann usikate kate ukauza plots, napenda kupata plot mwanagan sana aisee good landscape
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…