Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Napafahamu hapo Kigoma wilaya ya Uvinza utapata wateja faster eneo zuri sana...Kiwanja chenye ukubwa wa ft72 *51 eneo LA magore kaburi moja karibu na shule ya msingi mafanikio kinauzwa tshs9,000,000/=,barabara hadi mlangoni,kinafaa kwa frem za biashara,kimepimwa kienyeji cont 0629 500 010.
Njaa aliyosababisha Magu acha kabisa... Viwanja haviuziki na ukikaa nacho sana anapewa Bakhresa bure...
Mkuu kwani Airtel wamepunguza mgao wa mwaka kwa kuweka mnara kwenye kiwanja chako?
kwann usikate kate ukauza plots, napenda kupata plot mwanagan sana aisee good landscapeHABARI WANA JF HUSIKA NA KICHA CHA HABARI HAPO JUU.
KIWANJA KINAUZWA
Maeneo ya Mwanagati karibu na shule ya Mzinga English Medium.
Umbali wa kilometa 7 kutoka Banana ( Nyerere Road ).
Eneo: 35,394 sqm.
Bei: 800,000 USD ( Maongezi yapo ondoa shaka ).
ENEO:
Limepimwa na lina Hati halali ya umiliki. ( Lilinunuliwa kwa matumizi ya shule ).
Kuna nyumba moja ya vyumba viwili na sebule.
Lina Mazao: ( minazi na miembe).
Pia lina Mnara wa simu ( Airtel ).
Maji na umeme vinapatikana
KWA MAWASILIANO ZAIDI:
+255 716 808 888
+255 655 823 141
KARIBUBI NYOTE.
Nimeweka baadhi ya picha hapo chini kuonyesha hali halisi ya eneo hilo.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()